Rafiki yangu ameingia kwenye mahusiano na mwanamke wangu. Moyo wangu unauma sijui nifanye nini?

Wewe dogo papai nini???

Bora wamekugongea unauboya na unaonyesha umewajulia wanawake chuoni😄😄😄.Huyo unayemuita demu wako ukute hujawahi hata kumla😁😁😁ujinga ujinga tu!!!

Mshukuru huyo rafiki yako kwa kukugongea huyo malaya wako, amekusaidia utambue DUNIA UWANJA WA FUJO, HAKUNA WAKUKUONEA HURUMA HUMU DUNIANI pambana!!!

Kazana na masomo ukimaliza jitafute ujipate. Ukishajipata anza KUWACHAPA unavyoweza kama mmakonde ni humu tu!!!

Yaani jamaa kakugongea na bado ulivyomnyonge umemkaribisha geto. dogo angalia asije kukugonga na wewe.

Tafuta rafiki ya demu wako huyo umgonge ukimaliza tafuta demu wa rafiki yako naye mgonge, haibadilishi maana ila inaleta HESHIMA🤝

Usijerudia ujinga wa kuwa na demu mmoja,kama mapenzi huyawezi achana nayo mapenzi ni mzaha kama mizaha mingine.Acha kuyapa umuhimu.Chezeaneni weee ila usisahau kilichokupelea.

Dogo hata geto la maana huna, sasa hata huyo malaya wako unamshawishije abaki na wewe.Bwanamdogo uwe unahudhuria VIKAO VYA WANAUME,acha uvulana.

Tafuta hela!!!Tafuta hela!!! utaendelea kuchapiwa kijana,pambana na masomo kama mapenzi huyawezi usije kukosa vyote.

Na usomi wako hujui maana ya RAFIKI.Haya ingia google au Chat GPT wakusaidie wewe kiazi.
 
Wazazi wako wanajua upuuzi unaofanya huko chuo??
Na hii ndio shida ya kuchelewa kuanza shule ..
Miaka 24 ilitakiwa uwe na kazi yako kabisa ila we ndo upo 2nd yr.

Pole dogo, ndo mapenzi hayo.
 
Hasara sana aisee eti ndio kwanza vina miaka 18 na vyenyewe vinaanza kuleta skendo za mapenzi.
Hawa ndio wale wakifika mwaka wa mwisho wa masomo wanajirekodi video na kusambazwa mitandaoni.
Ni huzuni
 
Nimekubali hapo ulipompa LISSU heshima yake😄😄😄😄😄🙌🙌

Kwahiyo tumekubaliana kuwa SI UNIT ya ukweli ni LISSU.
 
Sema Nini Kijana? Mazingira hayo uliyatengeneza mwenyew, basi Hilo liwe fundisho hata pale utakapo kua serious na mahusianao hakikisha marafiki zako wasiwe karibu na nyie kwa maana ya eneo. Piaa na wewe usije thubutu tembea na mpenzi au mke wa rafiki yako maan na yeye atapitia maumivu pamoja na mawazo Kama unayo waza wewe.
 
Urafiki wenu ndiyo jambo muhimu
 
Huyo siyo mwanamke wako, huyo ni malaya bhana.

Halafu mbona mnahangaishwa sana na mapenzi ya mwendo kasi, hamuachi?

Kilio kama hiki kinadhalilisha sana kundi zima la vijana wa rika lako kwa kuhalalisha mambo haramu na kuonesha kuwa ni halali kuyafanya katikati ya jamii iliyostaarabika!
 
Piga chini demu, fukuza huyo msela, soma sana acha kulia Lia mbele ya mwanamke
 
Kwan Ako ka dadadaa ni mkeo wa ndoa? Au kunataratibu zozote ulipeleka kwao ? Kama hakuna mdogo wangu soma zingatia asomo yako huku mtaan wamejaaaa tele wazur mnoo soma acha upuuz upuuz
Asome tu na upwiru je?
 
Kijana zingatia masomo kwanza achana na mapenzi, huku mtaani jua linawaka mpaka kwenye soksi. Hakuna mapenzi hapo mnapotezeana muda.
 
Dogo acha ujinga wako na uwe na akili

Yan unamaind jamaa ambaye amekufunulia uhalisia halis wa Dem wako ambaye ni malaya kabisa

Mshukur jamaa maisha yaendelee kama anaendelea na huyo Dem poa tu mana nae atakuja achwa mana huyo Dem ni malaya kama malaya wengine tuuu.


Yan mnataka pigana kisa Dem wa chuo

Bure kabisa yan vijana wanapoteza kwa kas sana kizaz hiki

Eti unalia kisa mapenz na mtu mliyekutana nae chuo

Punguza ukenge na tumia akili mana ndo sifa ya mwanaume na sio unakua kama mwanamke unaendeshwa na hisia hisia
 
Tafuta rafiki wa karibu wa huyo Kylie, piga kende. Huyo mwamba aliekupa hifadhi ukijua demu wake piga mbupu.

Ila siku nyingine usipeleke demu wako sehemu uliyohifadhiwa.
 
Ila wazazi tuombee watoto wetu sana,. Imagine bint yako chuo ndio anapigwa pasi namna hiyo kama mpira
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Binti anaweza kumaliza high school msafi kabisa halafu akaenda kupata degree, masters au Phd ya umalaya huko University.
Yaani zama hizi binti wa chuo asipokua Malaya anaonekana sio msomi kabisa.
Halafu hili janga limekua ni world wide ila Afrika nahisi ndio tumetia fora.
 
Punguani mmoja wee, wazazi wanajua unazingatia kilichokupeleka kumbe uko jf unawaza ngono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…