Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
Hao mapadri na mashekhe waone hivyo hivyo ,swali/sali pita hivi wengi wao wana pande mbili hao
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
hujakosea sahv ni mwendo wa vimemo.
 
Huo ni uongo.. Lazima upite utaratibu wa ajira portal labda ukishapenya kwenda oral hapo kama connection inaweza kufanya kazi
 
Mhasibu double entry imetumika hapo, ingepigwa interview pia angepita kwa alama nyingi.
 
Wewe baba yako ninani tofauti na kuwa baba yako? Em tafta hela wanao waje kupata kazi bila interview
 
Habari wa ndugu.

Ni kijana wenu mpya. Sikuwa member lakini nilikuwa nahudhuria humu now imeshindikana hivyo imenipasa kujiunga rasmi. Mnipokee.

Ndugu, mimi ni muhitimu wa diploma ya uhasibu TIA 2022.

Nna rafiki yangu ambaye babake ni shekhe wa mkoa fulani TZ bara. Juzi amenipigia simu kuwa ameajirwa kwenye moja ya taasisi nyeti. Hakufanya interview wala kuomba nafasi.
Ameitwa utumishi kufata barua tu ya ajira.

Nnachojiuliza, inawezekanaje hadi viongozi wa dini kuwa na nguvu ya kupenyeza watu?? Nafikiria uwingi wa makanisa Kama kila mchungaji mkubwa akipeleka mtoto wake. Ajira zinazidi kuwa finyu kwa sie kajamba nani
 

Attachments

  • IMG-20250208-WA0018.jpg
    IMG-20250208-WA0018.jpg
    92.1 KB · Views: 1
Aseehh...wewe si rafiki wewe una roho mbaya mnoo...
 
acha kubisha usicho fahamu, mbona wapo wengi wanapitia utumishi hata bila usahili

Ni kweli mkuu connection zipo sana. Wenye connection hata ajira portal hawajawahi kuijua na wapo kwenye Taasisi tofauti.
 
Ni kweli mkuu connection zipo sana. Wenye connection hata ajira portal hawajawahi kuijua na wapo kwenye Taasisi tofauti.
huwa nawashangaa humu kuisifia utumishi wakati imejaza watu wengi bila usahili

mfano mzuri majuzi (mwezi wa kwanza) wameita watendaji wa kata na vijiji ambao hata hawajawahi fanya usahili

hatuwezi sema sana tukawaharibia ila utumishi wasanii kama wasanii wengine
 
Back
Top Bottom