Rafiki yangu kampa mimba mwanamke mtu mzima

Rafiki yangu kampa mimba mwanamke mtu mzima

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Hapo awali alikuwa akisifia sana kwamba anajua mahaba na anakata mikato yote mpaka za samaki akipiga reverse!! Sasa nature imefanya yake, mshangazi wa watu kanasa mimba na kagoma kuitoa!.. kakomalia kuzaa na kwa vile jamaa hana mtoto bado lishangazi limemwambia atulie walee mtoto!.

Mchizi stress zimemjaa kwa kuzaa nalishangazi,isitoshe jamaa anaheshimika mtaani kwa upole wake!,kinachomtesa zaidi tetesi mtaani zishasambaa kwamba jamaa anakula mshangazi!.

Ile furaha ya jamaa imekuwa kilio zile stori za mauno zimekufa bado maziko tu..
Kibaya katishwa akikimbia mama kijacho akishazaa anaenda kwao na jamaa kukabidhi mali ya familia..😂

Binafsi nimemwambia alee familia yake hakuna namna..🤣

1657105956958.png

 
Nasema ili siku zote na ntasema. Tungekua na uwazi baina ya mahusiano yetu. Kila mmoja akasema mimi nataka au napenda hiki au naona tuishi namna hii tusingekua na makwaruzano.

Kukosa uwazi ndio baina yao ndio kunapelekea mtu kubeba hiyo. Kama wangekua wazi sisi mahusiano yetu ni outing, kutomban* na si kupeana watoto. Mambo yangekua rahisi
 
Hapo awali alikuwa akisifia sana kwamba anajua mahaba na anakata mikato yote mpaka za samaki akipiga reverse!! Sasa nature imefanya yake, mshangazi wa watu kanasa mimba na kagoma kuitoa!.. kakomalia kuzaa na kwa vile jamaa hana mtoto bado lishangazi limemwambia atulie walee mtoto!.

Mchizi stress zimemjaa kwa kuzaa nalishangazi,isitoshe jamaa anaheshimika mtaani kwa upole wake!,kinachomtesa zaidi tetesi mtaani zishasambaa kwamba jamaa anakula mshangazi!.

Ile furaha ya jamaa imekuwa kilio zile stori za mauno zimekufa bado maziko tu..
Kibaya katishwa akikimbia mama kijacho akishazaa anaenda kwao na jamaa kukabidhi mali ya familia..😂

Binafsi nimemwambia alee familia yake hakuna namna..🤣

Alafu hawa wanawake bwana yaani ukishawala romance kali kuwala kavu rahisi sana....mie naona wanatutegaga hawa.
 
Nasema ili siku zote na ntasema. Tungekua na uwazi baina ya mahusiano yetu. Kila mmoja akasema mimi nataka au napenda hiki au naona tuishi namna hii tusingekua na makwaruzano.

Kukosa uwazi ndio baina yao ndio kunapelekea mtu kubeba hiyo. Kama wangekua wazi sisi mahusiano yetu ni outing, kutomban* na si kupeana watoto. Mambo yangekua rahisi
Hawa ata uwaweke wazi kivipi akili zao wanajua wenyewe yaani kulika kavu rahisi na kushika mimba ndio usiseme kabisaaa
 
Hapo awali alikuwa akisifia sana kwamba anajua mahaba na anakata mikato yote mpaka za samaki akipiga reverse!! Sasa nature imefanya yake, mshangazi wa watu kanasa mimba na kagoma kuitoa!.. kakomalia kuzaa na kwa vile jamaa hana mtoto bado lishangazi limemwambia atulie walee mtoto!.

Mchizi stress zimemjaa kwa kuzaa nalishangazi,isitoshe jamaa anaheshimika mtaani kwa upole wake!,kinachomtesa zaidi tetesi mtaani zishasambaa kwamba jamaa anakula mshangazi!.

Ile furaha ya jamaa imekuwa kilio zile stori za mauno zimekufa bado maziko tu..
Kibaya katishwa akikimbia mama kijacho akishazaa anaenda kwao na jamaa kukabidhi mali ya familia..😂

Binafsi nimemwambia alee familia yake hakuna namna..🤣

Acha umbea!
 
Nasema ili siku zote na ntasema. Tungekua na uwazi baina ya mahusiano yetu. Kila mmoja akasema mimi nataka au napenda hiki au naona tuishi namna hii tusingekua na makwaruzano.

Kukosa uwazi ndio baina yao ndio kunapelekea mtu kubeba hiyo. Kama wangekua wazi sisi mahusiano yetu ni outing, kutomban* na si kupeana watoto. Mambo yangekua rahisi
Mkuu uambiwe uwazi ukimbie..😂
 
Aiseee...hii samaki akipiga reverse ndo style gani?kweli kuishi mjini kuona mengi...ufafanuzi ht wa kapicha tafadhali ili niweze kuelewa zaidi.
Samaki aliwa pande zote wamla kiubavu ubavu kisha juu chini chini juu wamgeuza...
Reverse kwa maana anarudi kinyume nyume....

Ni hayo tu kwa mujibu wa watu wa kitaani kwangu.
 
Hawa ata uwaweke wazi kivipi akili zao wanajua wenyewe yaani kulika kavu rahisi na kushika mimba ndio usiseme kabisaaa

Bora mtu ajue kitendo cha wewe kushika mimba mimi sitovumilia ayo mahusiano tena na sitokubali. Akae anajua kabisa ili akiachwa kila kitu kiwe wazi
 
Kwan mashangazi ni kuanzia umri gan jaman🤔
 
Back
Top Bottom