Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
[emoji134][emoji134]dah aiseh najua watu wengi ambao wako na 30 na kuendelea mhhhh hatariHiyohiyo 30..[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji134][emoji134]dah aiseh najua watu wengi ambao wako na 30 na kuendelea mhhhh hatariHiyohiyo 30..[emoji23]
Ni wewe mkuuHapo awali alikuwa akisifia sana kwamba anajua mahaba na anakata mikato yote mpaka za samaki akipiga reverse!! Sasa nature imefanya yake, mshangazi wa watu kanasa mimba na kagoma kuitoa!.. kakomalia kuzaa na kwa vile jamaa hana mtoto bado lishangazi limemwambia atulie walee mtoto!.
Mchizi stress zimemjaa kwa kuzaa nalishangazi,isitoshe jamaa anaheshimika mtaani kwa upole wake!,kinachomtesa zaidi tetesi mtaani zishasambaa kwamba jamaa anakula mshangazi!.
Ile furaha ya jamaa imekuwa kilio zile stori za mauno zimekufa bado maziko tu..
Kibaya katishwa akikimbia mama kijacho akishazaa anaenda kwao na jamaa kukabidhi mali ya familia..😂
Binafsi nimemwambia alee familia yake hakuna namna..🤣
Mbona nyie mnawaita wanaume suruali wasio na pesa sio dhambi ?zambi jamani duuh
eti demu mbovu loooh
Naunga mkono hoja,ni yeye yamemkuta ya kumkuta.Tutajuaje ....labda Ni wew unamsingizia mshikaji
Hiyo kwa kilugha chetu tunaita plan BAiseee...hii samaki akipiga reverse ndo style gani?kweli kuishi mjini kuona mengi...ufafanuzi ht wa kapicha tafadhali ili niweze kuelewa zaidi.
Huyo rafiki yako ganda la ndizi ndiyo limemponza.Hapo awali alikuwa akisifia sana kwamba anajua mahaba na anakata mikato yote mpaka za samaki akipiga reverse!! Sasa nature imefanya yake, mshangazi wa watu kanasa mimba na kagoma kuitoa!.. kakomalia kuzaa na kwa vile jamaa hana mtoto bado lishangazi limemwambia atulie walee mtoto!.
Mchizi stress zimemjaa kwa kuzaa nalishangazi,isitoshe jamaa anaheshimika mtaani kwa upole wake!,kinachomtesa zaidi tetesi mtaani zishasambaa kwamba jamaa anakula mshangazi!.
Ile furaha ya jamaa imekuwa kilio zile stori za mauno zimekufa bado maziko tu..
Kibaya katishwa akikimbia mama kijacho akishazaa anaenda kwao na jamaa kukabidhi mali ya familia..[emoji23]
Binafsi nimemwambia alee familia yake hakuna namna..[emoji1787]
Sasa mwanaume unakosaje pesa? labda kama wewe ni mvulana otherwise sifa ya kwanza ya mwanamme ni helaMbona nyie mnawaita wanaume suruali wasio na pesa sio dhambi ?
Sasa mwanamke unakosaje uzuri labda kama wewe ni kilema otherwise sifa ya kwanza ya mwanamke uvutie uwe at least na churasasa mwanaume unakosaje pesa? labda kama wewe ni mvulana otherwise sifa ya kwanza ya mwanamme ni hela
hahahahah
Hahahahhaha chura hata mbuzi anayo bhana, sifa ya kwanza ya mwanamke awe mtii/heshima kwa mwenzakeSasa mwanamke unakosaje uzuri labda kama wewe ni kilema otherwise sifa ya kwanza ya mwanamke uvutie uwe at least na chura
Hahaha
Uzuri muhimu utaaribu watotohahahahhaha chura hata mbuzi anayo bhana, sifa ya kwanza ya mwanamke awe mtii/heshima kwa mwenzake
hayo mengine ni nyongeza tu
NakaziaPicha ya lishangazi tafadhali, halafu ushauri ufuate...
Kwani wewe unahisi mwenye wesere ndo mzuri? hebu fikiria upya mkuuUzuri muhimu utaaribu watoto
Mwanaume sifa pesakwani wewe unahisi mwenye wesere ndo mzuri? hebu fikiria upya mkuu