Rafiki yangu kampa mimba mwanamke mtu mzima

Hawa ata uwaweke wazi kivipi akili zao wanajua wenyewe yaani kulika kavu rahisi na kushika mimba ndio usiseme kabisaaa
Wanawake wachache sana, mno wanasisitiza ndom. Yani kwa sie ambao ndom is not an option..ni shida!!
 
Kwan anamuoa? Si analea mtoto tu? Kama hajamridhia alee mtoto kama makubaliano ila maisha yake mengine yanaendelea kama alivyopanga
 
Wanawake wachache sana, mno wanasisitiza ndom. Yani kwa sie ambao ndom is not an option..ni shida!!
Yaani hivi hivi unakula na ndio maana nime nawapeldkea moto tuuhivyo hivyo. Yaani demu unampiga romance ukimwambia i love u hapo unashangaa unateleza tuu ndani kiulaini.
 
Pole yake, haijatokea pwani kweli hii maana mishangazi ya uswahilini siku hizi ni kugusa tu anajaa
 
Ehhh makubwa tena haya.... Ila watoto ni baraka na ni matunda ya kazi nzuri kwa hyo ye alee tu
 
Kuna mmoja alinitesa sana, mimba ikatoka. alikua anakuja kazini asubuhi
 
Wanawake hawawez kukuelewa ukiwaambia ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…