Kwa falsafa zako hata anayejirusha ghorofani afe anaweza kuwa hayaogopi maisha.Anayeogopa mke mwenye akili anaogpa changamoto atakazozipata kuishi naye .
Anayeogopa mke asiye na akili viyi hivyo anaogopa changamoto za kuishi na watoto wajinga wajinga.
Kuna asiyeogopa maisha hapo?
Changamoto gani unaweza kuzipitia kwa kuishi na mke mwenye akili??Anayeogopa mke mwenye akili anaogpa changamoto atakazozipata kuishi naye .
Anayeogopa mke asiye na akili viyi hivyo anaogopa changamoto za kuishi na watoto wajinga wajinga.
Kuna asiyeogopa maisha hapo? Yote ni sehemu ya maisha siyo?
Hilo jina limekaa kichina sioni kosa lakeMi wangu aliposema Hanang ni china ule wakati wa mafuriko ya matope nikajua kazi ipo
Ila yuko poa sana
Hapo unakuwa umeoa au kakuoa?Mwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazoπ€π€π€
Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kituπ
To stay on point, just because mtu anakwepa kuwa continuously, unnecessarily and relentlessly challenged by his wife - from whom he wants only sex, food and peace - haimaanishi anaogopa maisha.Kwa falsafa zako hata anayejirusha ghorofani afe anaweza kuwa hayaogopi maisha.
Mmeona.Hapo unakuwa umeoa au kakuoa?
Huyo sasa si ni muhenga mzee sio mwanamke tena ni bibiMwanamke anajua sumu ya polonium
Mwanamke anajua kikosi Cha Simba na Yanga za mwaka 1981
Fuatilia kidogo mwanzo nilipomquote utaelewa tumefikaje hapa mkuu.Changamoto gani unaweza kuzipitia kwa kuishi na mke mwenye akili??
Then kunakuwa hakuna tofauti ya mke na mumeMmeona.
πMwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazoπ€π€π€
Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kituπ
Mwanamke akiwa serious sana anaboa. Kuna moments za mahaba lazma utakuwa unazimiss. Anaboa straight away.Ngoja nitafute hizo akili za kitoto, kumbe naboa na sijui.
Tumeoana mkuu yani yeye kanioa na mimi nimemuoa, kwa sababu wote wawili tulifanya makubaliano.Hapo unakuwa umeoa au kakuoa?
Hivyo basiTumeoana mkuu yani yeye kanioa na mimi nimemuoa, kwa sababu wote wawili tulifanya makubaliano.
Hakuna popote niliposema mtu awe continuously, unnecessarily and relentlessly challended by his wife.To stay on point, just because mtu anakwepa kuwa continuously, unnecessarily and relentlessly challenged by his wife - from whom he wants only sex, food and peace - haimaanishi anaogopa maisha.
Is he choosing the path of least resistance? Absolutely. But he has the rightto live life at his own pace. Do not deny him that right by assigning such a label.
I love smart people wanakufanya ufikirie pia sio wanaopokea tu,ukimuachia laki unakuta ameizalisha au amefanya kitu mpk mwenyewe unajiuliza hapa nimepata mtu,smart women hutaona shida kumuachia hela ya maana kwakua unajua ipo mikono salama wkt ww unatafuta nyingine,na hata akitumia hutaona tabu,I love such kind of peopleMwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazoπ€π€π€
Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kituπ
Yaisheeee πNipunguze nin
Tofauti ipo kwa sababu mmoja ana uume na mwingine ana uke.Then kunakuwa hakuna tofauti ya mke na mume
Ni either wote wanawake au wote muwe wanawake
Katika wote walioelewa uzi wewe ni no moja. Yaani ata me nimeelewa zaid. Unalozungumza ndio nilitaka kulizungumzia. "A female must posses femine characters" asa kuna watu wamekazana unaogopa maisha unaogopa maisha.Kunatofauti kati ya mwanamke na mwanaume kila mmoja ana hulka zake
Hapa tatizo sio AKILI KUBWA bali ni mwanamke kutokua na hulka za kike na kuwa na hulka za kiume
Ni nadra sana kukuta wanawake wamekaa wenyewe wanajadili vita vya Gaza au Ukraine au wanajadili teknolojia mpya ya screen za tv au simu..... lakini haya ndio mazungumzo ya wanaume
Nyoka akiingia ndani ya nyumba ni hulka ya mwanaume kushughulika naye wakati mke na watoto wanakimbilia sehemu salama..... sio kwasababu mwanamke hawezi
Sema nivile mambo ya usawa wa kijinsia yamekuja kuvuruga kabisa huo utaratibu
Sasa kama wanawake wanasema hawajaolewa kukufulia au kukupikia unadhani wataelewa ulichoandika hapa mkuu
Hawa ndio wale wanasema mimi nikitoka out na wenzangu nampa taarifa mmewa wangu na sio kumuomba ruhusa au kumuaga
Wapo wanawake wana akili kweli kweli lakini bado wana hulka za kike
Na kuna wanawake hawana akili lakini lina hulka za kiume...... unakuta kazungukwa na wanaume wanabishana simba ya ngapa hadi ushangaa, simu anajua hadi ku root afiche mafile, social media zote anazo na maparody kibao
Just imagine kila siku yeye ndio anatoa style mpya kunako 6x6 ππππ