Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

Anayeogopa mke mwenye akili anaogpa changamoto atakazozipata kuishi naye .

Anayeogopa mke asiye na akili viyi hivyo anaogopa changamoto za kuishi na watoto wajinga wajinga.

Kuna asiyeogopa maisha hapo?
Kwa falsafa zako hata anayejirusha ghorofani afe anaweza kuwa hayaogopi maisha.
 
Anayeogopa mke mwenye akili anaogpa changamoto atakazozipata kuishi naye .

Anayeogopa mke asiye na akili viyi hivyo anaogopa changamoto za kuishi na watoto wajinga wajinga.

Kuna asiyeogopa maisha hapo? Yote ni sehemu ya maisha siyo?
Changamoto gani unaweza kuzipitia kwa kuishi na mke mwenye akili??
 
Mwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazo🤔🤔🤔

Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kitu😂
Hapo unakuwa umeoa au kakuoa?
 
Kwa falsafa zako hata anayejirusha ghorofani afe anaweza kuwa hayaogopi maisha.
To stay on point, just because mtu anakwepa kuwa continuously, unnecessarily and relentlessly challenged by his wife - from whom he wants only sex, food and peace - haimaanishi anaogopa maisha.

Is he choosing the path of least resistance? Absolutely. But he has the rightto live life at his own pace. Do not deny him that right by assigning such a label.
 
To stay on point, just because mtu anakwepa kuwa continuously, unnecessarily and relentlessly challenged by his wife - from whom he wants only sex, food and peace - haimaanishi anaogopa maisha.

Is he choosing the path of least resistance? Absolutely. But he has the rightto live life at his own pace. Do not deny him that right by assigning such a label.
Hakuna popote niliposema mtu awe continuously, unnecessarily and relentlessly challended by his wife.

In fact, mwanamke mwenye akili ni yule anayejua ku challenge just right bila ya kuwa ana challenge continuously, unnecessarily and relentlessly.


Kwa hivyo, ukitaka mwanamke asiye na akili ndiyo unataka huyo anaye challenge continuously, unnecessarily and relentlessly.

This is a logical fallacy.

A stawman argument logical fallacy.

You are adding something I did not say, and then you are attacking that which you added yourself.
 
Mwanamke wa hivyo anaboa raha ya Mwanamke ajue vitu vingi mkae mbishane mcheke mfurahi , nakubadilishana mawazo🤔🤔🤔

Sio unakua na mwanamke yeye kama goigoi tu kila kitu😂
I love smart people wanakufanya ufikirie pia sio wanaopokea tu,ukimuachia laki unakuta ameizalisha au amefanya kitu mpk mwenyewe unajiuliza hapa nimepata mtu,smart women hutaona shida kumuachia hela ya maana kwakua unajua ipo mikono salama wkt ww unatafuta nyingine,na hata akitumia hutaona tabu,I love such kind of people
 
Kunatofauti kati ya mwanamke na mwanaume kila mmoja ana hulka zake

Hapa tatizo sio AKILI KUBWA bali ni mwanamke kutokua na hulka za kike na kuwa na hulka za kiume
Ni nadra sana kukuta wanawake wamekaa wenyewe wanajadili vita vya Gaza au Ukraine au wanajadili teknolojia mpya ya screen za tv au simu..... lakini haya ndio mazungumzo ya wanaume

Nyoka akiingia ndani ya nyumba ni hulka ya mwanaume kushughulika naye wakati mke na watoto wanakimbilia sehemu salama..... sio kwasababu mwanamke hawezi

Sema nivile mambo ya usawa wa kijinsia yamekuja kuvuruga kabisa huo utaratibu

Sasa kama wanawake wanasema hawajaolewa kukufulia au kukupikia unadhani wataelewa ulichoandika hapa mkuu
Hawa ndio wale wanasema mimi nikitoka out na wenzangu nampa taarifa mmewa wangu na sio kumuomba ruhusa au kumuaga

Wapo wanawake wana akili kweli kweli lakini bado wana hulka za kike
Na kuna wanawake hawana akili lakini lina hulka za kiume...... unakuta kazungukwa na wanaume wanabishana simba ya ngapa hadi ushangaa, simu anajua hadi ku root afiche mafile, social media zote anazo na maparody kibao
Just imagine kila siku yeye ndio anatoa style mpya kunako 6x6 😂😂😂😂
Katika wote walioelewa uzi wewe ni no moja. Yaani ata me nimeelewa zaid. Unalozungumza ndio nilitaka kulizungumzia. "A female must posses femine characters" asa kuna watu wamekazana unaogopa maisha unaogopa maisha.
 
Back
Top Bottom