Raia Mwema: Paul Makonda kushtakiwa Mahakamani kwa matumizi mabaya ya madaraka

Kikundi cha wasiojulikana inaenda kuanguka rasmi
 


Yaani jamaa wanatumia hili gazeti kumtia mtu mikononi. Upepo unapimwa kwa raia kama kawaida....ajiandae kupambana na kesi au siyo.
 
Jenerali Ulimwengu ameamua rasmi hili gazeti liwe tabloid sasa kama ya Shigongo. Hakuna tena zile makala za kiuchambuzi mtu unasoma unaridhika. Sad!
Tatizo wakiandika Uchambuzi mnawafungia. Kuandika Hamza wa CCM Gazeti likala kifungo cha siku 30
 
Wachaaaaaaaaa! Kuna yule mwandishi pia aliyetoka jela kwa makubaliano na dpp naye kama alimtaja? Heehee unaweza ujutreee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…