HahahhaYeye mwenyewe anajua kuwa ushauri anaopewa ni mbovu ndio maana yuko chimbo mpaka leo na akiulizwa anarudi lini mjini anakuwa mkali na kutoa majibu mepesi.
Mkuu nimeamini wewe sio mzima. Hiyo clip ya Raila Odinga huioni? Melo fukuza huyu mwehu JF.
Mkuu huyo mwehu ni nani huko CCM?Nasikitika tu Ndugu kuwa mpaka sasa hujajua huyo Mpuuzi na Juha unayepoteza muda wako huu Kujibizana nae ni nani CCM.
Cdm wameficha sukari aise au unasemajeNyie chadema kweli wajinga kenya akupe sukari?
Tutapigani nchi yetu kwanza kabla ya sisi wenyewe na familia zetu na huo ndio uzalendoPigania nafsi yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inawezekanaHuenda mchizi yuko critical sick au dishi lineyumba. Tuliwahi kusikia kuwa ule mtambo ni spana mkononi, kama gari la mkaa.
Mkuu huyo mwehu ni nani huko CCM?
Hahahaha. Nimekupata aisee! Ila hapana mkuu, japo slow×2 wa bunge la katiba ni tofauti kabisa na huyu wa sasa lakini hajafikia wehu wa namna hii.Badilisha Kauli hii kwenda katika Uwingi...Dereva tafadhali sana zingatia Kuendesha Gari lako kwa mwendo wa Polepole usiue...
Maji yameishamwagika dogo, huo ndo ukweli.NEC 2015 walitukosea sana WatzKwa nini wakenya wanawashwa sana na mambo ya nchi yetu? Umewahi sikia kiongozi yetu yoyote hata wa upinzani akitaja hata jina la Kenya? Mwambie ajali nchi yake hana chochote kwetu, kazi ya kucheka suruali ya aliyemwagiwa maji wakati yeye kajinyea?
Ana frustration chadema haijafa mpaka may 2020 kama alivyoapia mbingu"Raila amesema viongozi wa kanda wamekua wakitaka kushauriana na rais John Pombe Magufuli, bila mafanikio."
Hii statement ni fikirishi. Ni kuwa rais ni mkaidi? Rais siyo msikivu? Rais hana cha kujifunza kutoka kwa wengine? Rais hashauriki? Nk nk.
Nani wanaomshauri rais kuwa na msimamo huu? Kina Mbatia ni mmoja wa watu hao?
Yule mzee mpumbavu sijui anajiitaga *Mzee mwanakijiji* siku hizi kasepa mazimaSijui mpaka wakati huu atakuwa bado anaungwa mkono na nani anayejitambua, hata wale waliomvumilia mwanzo wameshamchoka.
#Stubborn.
Sent using Jamii Forums mobile app