Raila Odinga KUMTUMIA rais Magufuli kwa kampeni zake za URAIS Kenya ni MAKOSA MAKUBWA!

sasa akimuiga huyu Wa kwetu wakenya si watakuwa wamepotea? huyu Wa kwetu anashangiliwa na watu wachache ambao kwa bahati mbaya walinyimwa upeo Wa kufikiri hivyo wao ni akina ndiyo mzee
Sahisho wetu anapingwa na wachache, sana wapiga dili na wale wale waliokua wanampinga tokea mwazo
 
Irrelevance maana mradi ni under tanesco hivyo bado inabaki kuwa 95% ya bomba haliko maximised maana hakuna wateja!!! Kasome ripoti ya CAG
 
We ndugu bomba la gas ya mtwara dar ni primarily kwa ajili ya kuzalisha umeme na si kuuza. Untapped reserve ya gas tunayotarajia italeta economic transformations bado iko offshore(baharini) wala hata maamuzi ya uwekezaji hayajafanywa rasmi na stat oil. Kuna jamaa hapo juu amekueleza gas ya kuuzwa itatoka kwenye LNG plant ambayo bado kabisa kujengwa. Lakini sidhani kama huyo CAG ana elimu yoyote kuhusiana na gas.
 
sasa akimuiga huyu Wa kwetu wakenya si watakuwa wamepotea? huyu Wa kwetu anashangiliwa na watu wachache ambao kwa bahati mbaya walinyimwa upeo Wa kufikiri hivyo wao ni akina ndiyo mzee
Ngoja ifike 2020 ndo utajua kama anaungwa mkono na wachache au wengi
 
Upuuzi wa kumtuma bashite kuvamia clouds radio.
Vyeti fake kwa bashite au nani?
Upuuzi wa kumfukuza nape kwa sababu kamsema Bashite? Huu upuuzi wakenya hawaufagilii. Not to zat eksitent
Wew mtu wa mipasho. Usituletee habar za udaku hapa lete mambo ya maana. Dume zima unaongelea mambo ya bashite kama mangr
 
Wew unaonekana una cheti kimoja tu. Nacho ni cheti cha kuzaliwa
 
Mleta mada utakua mkenya wewe MGOMBEAJI duuuuuuuu.....
 
ODINGA
 
Atcl inamsaidiaje anaekufa kwa malaria au tb na vifaa tiba hakuna
Bila ya transport vifaa tiba mtu atavipata vipi? Serikali itapata pesa kutoka kwa watalii na faida nyingine kutoka atcl. Ambayo itasaidia kununua vifaa tiba
 
Ni kweli. Lakini asifanye Watanzania wanaoishi na kufanya kazi huko waonekane ni ADUI wa serikali ya Kenyatta. Hilo halikubaliki. Yeye ajitetee tu kivyake.
Wakenya ni wajanja wanajua hawawezi kutuchukia kwa sab za kijinga kama hizo..kumbuka raila ni rafiki Mkubwa wa magufuli lkn hii haimfanyi Uhuru kenyata asifanye kazi na magufuli. Raila alikwenda chato kumpongeza magufuli.
 
Wew kweli una upeo mdogo. Bora JPM alivyoweka elimu bure ili watu kama hawa wasije kupatikana mbeleni
 
Taifa letu limepatwa (eclipsed).

Ni makosa kwa Rais kuunga mkono upinzani dhidi ya serikali ya nchi nyingine, hasa ikiwa nchi hizo zina mahusiano mazuri.

Suala la kuunga mkono upinzani wa serikali ya Kenya lililalamikiwa sana tangu siku za mwanzo za urais wa Magufuli. Ila kama kawaida ikulu ilipuuza malalamiko hayo.

Hivi ni kweli ikulu haiwezi kutenganisha urafiki wa Magufuli na URAIS wa Tanzania?????

Hivi hapo magogoni maafisa wote wamejawa na nidhamu ya woga kiasi cha kuridhika uhusiano wetu na Kenya ni bora uharibike kuliko kumuelekeza bwana mkubwa ????

Hii ni AIBU. Lakini pia madai yoyote yatakayotolewa na serikali ya Kenya kuhusu Tanzania kuingilia uchaguzi wao kwa nia ovu, yatachukuliwa na dunia kwa uzito wa juu.

Na kwa hakika lawama hizo ZITATUSTAHILI.

Urafiki wa watu wawili unahatarisha mahusiano mema ya nchi zetu tuliyoyajenga kwa miaka mingi.

Mbaya zaidi pembeni yake kuna watu wenye akili timamu wanaangalia tu bila kuchukua hatua sahihi mapema.
 
Upuuzi wa kuwabana mafisadi na kuondoa wenye vyeti feki serikalini?????

Upuuzi kufufua shirika la ATCL?

Upuuzi kuleta treni ya umeme?
Ndiyo..... Ni upuuzi kwani hivyo, japo ni vitu vizuri, lakini sio vipaumbele vya kwanza kwa nchi.

Ni UPUUZI WA HALI YA JUU kuacha kushughulika na priorities.
 
Ni vizuri wamwambie ukweli kabisa bila WOGA kuliko kutuingiza katika balaa la Kiplomasia.Maana tukiharibikiwa Raila hana kitu cha kupoteza bali ni sisi Watanzania
 
Hii ishu siyo Wakenya wala strategist wa NAS bali wewe mnafiki na mmbea unayetaka Magufuli ashambuliwe na kudhihakiwa na machokolaa km wewe.

Watu wa aina yako huwa ni wachawi.
Kutojua Diplomasia hufanyikaje kati ya nchi na nchi haya ndo majibu ya mtu aliye na upeo mdogo. Sishangazwi na jibu lako
 
Kenyan news and politics!

Kilichoandikwa kwenye mada na mjadala unaofanyika ni vitu viwili tofauti!

Watanzania tubadilike la sivyo tutasubiri sana! Yako majukwaa mengi ya kujadili performance ya Rais wetu!


Rudini kwenye hoja ya msingi
Mkuu what are trying to imply?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…