Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Jinga kabisaHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
Vice versa is trueHaitakuja kutokea PM akawa Rais hapa Tanzania,shika hii itakusaidia hususani ccm okiendelea kushika Dola.
Samia ni Bora kuliko Mwinyi.
Tena mgonjwa wa akiliWewe utakuwa ni mgonjwa. Siyo bure!!
Atakuwa na miaka mingapi wakafi huo? Atahimili vipindi vyote viwili au atashika kimoja?2030 ni Mwinyi jr
PRO MAGUFULI KWA SASA HAWANA NAFASI, WAMETUGAWA SANA KAMA TAIFAHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
👍Upuuzi,hamjifunzi Kwa Nyerere &Jiwe tu? Na nakuhakikishia Jiwe angekuwa hai Tanzania ingekuwa kama Zimbabwe.
Hakuna mtu anaweza ruhusu Hilo tena
Nyerere na Magufuli walifanya kazi kubwa sana, Kwa kufupisha tafuta Nyerere aliiacha nchi ikiwa namba ngapi kwa Pato la taifa (ranking per GDP worldwide), na Mwinyi aliiacha wapi, Mkapa aliiacha wapi na Magufuli aliiacha wapi?Upuuzi,hamjifunzi Kwa Nyerere &Jiwe tu? Na nakuhakikishia Jiwe angekuwa hai Tanzania ingekuwa kama Zimbabwe.
Hakuna mtu anaweza ruhusu Hilo tena
Kuna mpango wa kumwingiza Rais ambaye hajawahi kugombea,KWA hio Mwinyi hapana,majaaliwa labda!Japo ni ukweli mchungu ila number 4 na 5 ni very likely.
Labda mambo yaharibike sana(kwa sauti ya kutoka kwenye mananasi huko msoga)
Hawezi kutoka Muislamu akaingia Muislamu!. 2030 ni zamu yetu!.2030 ni Mwinyi jr
Jpm yupi?alikuwa raisi mzuri tu isipokuwa kwa nyie vyeti feki.JPM alikuwa anaipeleka Nchi pabaya sana.
Unapotaja bashiru naona ramli zako unapiga ukiwa umevuta cha arusha. Nashiru ndio ineshatoka haitajirudia tenaKuna mpango wa kumwingiza Rais ambaye hajawahi kugombea,KWA hio Mwinyi hapana,majaaliwa labda!
Japo magamba matatu anasema ajaye ni muislam tena na atakua na nguvu sana kama jpm !majaaliwa anafit peofile hiyo na Bashiru pia!
Lakini Bashiru ana dosari hasa kipindi kile cha come down ya ku announce msiba wa mzilankende muyango!!japo si rule out kiviile coz fdr wa marekani aliongoza akiwa kwenye wheelchair inawezekana tukampata akiwa mzima then aka be wheel chaired kama yule wa America !!!hatujui NGOJA tuone hadi 2024 tutakua tunajua fdr ni nani coz akaa miaka 12 madarakani!!
NGOJA tuone!!lolote lawezekana!!
Baguzi kubwa wewe....
Umefundishwa ubaguzi ?!!!
Yaani mtu anakuwa mpaka raia no.1 halafu unamuongelea kama vile uko ndani ya zile saloon zenu za kike mnazofundishana kupakana "mafuta"...bure kabisa we dada
Number 4 sawa Ila 5 hafai Bora hata mwendazake kuliko katelephone.Japo ni ukweli mchungu ila number 4 na 5 ni very likely.
Labda mambo yaharibike sana(kwa sauti ya kutoka kwenye mananasi huko msoga)
Huyu mjinga propaganda zimemwingia mpaka hajitambui na hatumii tena akili zake, Tanzania inataka viongozi wapya kabisa na sio hawa uliotaja wengine umri umeshawatupa mkono, tunataka raisi aliyezaliwa miaka ya 90 yaani kwa muda huo anagombea awe hajazidi 35. Hao wazee wameshaumizwa na ukoloni na ukoloni mamboleoHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwa nini nchi inawahitaji zaidi
nadhani sasahivi wamejifunza kitu kwenye kupitisha mgombea urais na makamu wake. magufuli aliwaburuza sana hata wao na next time rais atakayependekezwa nao atakuwa tofauti kabisa na magufuli. kwa upande wa wapinzani, nawashauri watafute kichwa kinachokubalika hii ccm ni rahisi saana kuiondoa tukiungana na tukiamia kwa pamoja. hata wakiiba kura wataishia tu kuua watu ila watang'oka.Maliza matusi yote....
Hivi CCM impitishe makamu wa Rais mwepesi kichwani ?!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
Ain't serious.....
Mh! HayaHii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
Hapa angalao anaweza kuwepo mmoja japo wote hapo juu kwenye UADILIFU ni shida bado!Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
nchi hii wapumbavu kumbe bado.mko wengi?Hii ndio orodha ya wanasiasa na viongozi ambao ninaamini kama akampokea mikoba Rais Samia basi nchi itasonga mbele Kwa Kasi sana:
1. Mzee.Abdulrahman Kinana
2. Prof. Palamagamba Kabudi
3. Dkt Bashiru Ali Kakurwa
4. Dkt. Hussein Mwinyi
5. PM Kassim Majaliwa
Nitarudi Kwa ajili ya Part 2 kuwaelezea na kuelezea Kwanini nchi inawahitaji zaidi
2030 ni Mwinyi jr
Hata tukienda kwa zamu viongozi waadilifu wanaweza kupatikana tu. ni zamu yetu na lazima na makamo wa rais awe na akili, sio mtu anachagua alimradi siku akija kufa anatuachia msala. chalamila alisema jambo la maana sana kipindi kile.