Rais ana taarifa nyingi za siri, hakukurupuka kusema wanafanya hivyo kwa sababu ya "2025 fever". Muda ni hakimu wa haki

Hafai hata kidogo huyu bibi
naona watu wa Mbowe mshaanza kumpinga Bibi kumfagilia Lissu, hata mkimchukua Ndugai agombee tutahakikisha Bibi anafika 2030
km mna ubavu upinzani pelekeni jina la Spika kwani mna Wabunge sio mpaka Mkiti atolewe Segadance
 
Wanaompa rais wenu taarifa, hawampi taarifa zilizo sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapenda sana kumtukuza Rais ooh ana siri nyingi ana siri nyingi...siri gani?

Mnapenda kutueleza hivo mwisho tunakuja kujua ni upuuzi tu
 
Hahahaha Ukwaju bhana
 
naona watu wa Mbowe mshaanza kumpinga Bibi kumfagilia Lissu, hata mkimchukua Ndugai agombee tutahakikisha Bibi anafika 2030
km mna ubavu upinzani pelekeni jina la Spika kwani mna Wabunge sio mpaka Mkiti atolewe Segadance
Haya Ukwaju bhana
 
Haya Ukwaju bhana
Tukachukue fomu wagombea binafsi nitakulipia Babati mpaka Dodoma sio mbali lkn kuwaachia CCM wapite bila kupingwa NI kosa ndipo tudai marekebisho ya Katiba kuwe na kipengele Spika alijiuzulu aliyefuatia ashike Uspika hata asiye na Chama
 
Tukachukue fomu wagombea binafsi nitakulipia Babati mpaka Dodoma sio mbali lkn kuwaachia CCM wapite bila kupingwa NI kosa ndipo tudai marekebisho ya Katiba kuwe na kipengele Spika alijiuzulu aliyefuatia ashike Uspika hata asiye na Chama
mambo ni moto sn
 
Chawa wa mama!
.
Kwani kama mtu ana nia ya kugombea 2025 shida iko wapi?
Si ndio democrasia hiyo?

Hangaya ni mwoga
Mkuu umehama chama au just kambi lakini bado uko humo humo?
 
Mama ni zaifu, homa ya 2025 anasakizia wengine wakati hata yeye hiyo homa inamsumbua , na kama haimsumbui mbona ashaanza kupanga safu kwa ajiri ya safari kuelekea huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…