Wapumbavu wasiokuwa na akili za kujibizana kisaatarabu ni wazuri sana wa kutumia lugha chafuchafu.Bakia na mavi yako nyumbani!
Kwa mintarafu ya Katiba ile. Sina uhakika kama hii inaeleza hivyo
JWTZ ni wapumbavu tu. Mwanamke umeambiwa hawezi ongoza? Mama yako hana uwezo wa kuongoza familia yenu? Acha dharau za kipumbavu.JWTZ hawawezi kukubali nchi iongozwe na mzanzibar tena mwanamke,Jiwe katuletea balaa na kiburi chake cha kutokuchunguza afya yake mara kwa mara
Nasema tena, "Bakia na mavi yako nyumbani"Wapumbavu wasiokuwa na akili za kujibizana kisaatarabu ni wazuri sana wa kutumia lugha chafuchafu.
Kama hujawahi kusikia phrase hiyo niliyokwoti basi una elemu nusu ndiyo maana pian unakimbilia lugha chafu. Hayo ni maneno yaliyoko kwenye English Treason Act 1351, watu waliosoma wanayajua sana. Sheria hiyo inaweza kuwa imeshapitwa na wakati lakini ni phrase aliyotumia hata Charles Njonjo kuwazuia wabunge wa kenya kupitisha sheria ya mrithi wa Kenyatta akifa.
Nasema tena, "Bakia na mavi yako nyumbani"
Duh kuna harufu ya jambo ambalo haliko sawa
Umezungumza vyemaMkuu kila linalotokea kwenye hii Dunia ni baya au zuri kwa macho ya kibinadamu tu. Lakini kwa Mwenyezi Mungu lina maana tofauti kabisa. Mimi na wewe tuendelee kuishi huku tukiomba kila mtu kwa imani yake kwani hatma yetu iko kwa Mungu.
Nchi nyingi zilizokuwa koloni la Uingereza kupitia "Treason Act 1351"Nchi gani mku zitaje tuzijue
daaaaa bado n mule mule amna kitakachobadilika,nmejiskia vbaya,ok swali ikitokea bahat mbaya rais na makamu wake wakalog out in the world nan hapo nan ataongoza,Endapo kwa sababu "yoyote" ile Rais atashindwa kuendelea na madaraka yake basi atakayechukua nafasi hiyo ni Makamu wa Rais.
unamuombea kww mungu amjalie afya njema ili watoto wako waendelee kufa kwa njaa kisa uchumi wa katTwamuombea Mungu afya njema na maisha marefu rais wetu wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Amen
37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.
Ahsante kwa maelekezo37(5) Endapo kiti cha Rais kitakuwa wazi kutokana na Rais kufariki dunia, kujiuzulu, kupoteza sifa za uchaguzi au kutomudu kazi zake kutokana na maradhi ya mwili au kushindwa kutekeleza kazi na shughuli za Rais, basi Makamu wa Rais ataapishwa na atakuwa Rais kwa muda uliobaki katika kipindi cha miaka mitano na kwa masharti yaliyoelezwa katika ibara ya 40, kisha baada ya kushauriana na chama cha siasa anachotoka Rais atapendekeza jina la mtu atakae kuwa Makamu wa Rais na uteuzi huo utathibitishwa na Bunge kwa kura zisizopungua asilimia hamsini ya Wabunge wote.
Why not, this will be the first time, Katiba inamtaka Makamu wa Rais ndie achukue kiti, na atakuwa na wasaidizi, sioni sababu kwanini ashindwe kuongoza.Hatuwezi tawaliwa na mwanamke bongo bado sana mzee.