Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

Askofu Mwamakula alikwishaomba kila kitu juu ya wezi wa kura wa Okt 2020. Sisi tunasubiri tu Bwana atende... Mmoja baada ya mwingine. Mtajijua wenyewe huko. Katiba iko wazi juu ya hili. Kufikiri kuwa mpinzani anawaza kuwa VP ni ujinga wako.


Apo kwenye"Lazima atoke kwenye chama chake cha CCM"ndo pamewakata maini wazee wakunyapianyapia wa Ufipa.
 
Hii kauli mbiu ya Maendeleo Hayana Vyama safari hii inaweza kuanza kufanya kazi, huko nyuma tulikua tunadanganyana na kuzugana tu.
 
Apo kwenye"Lazima atoke kwenye chama chake cha CCM"ndo pamewakata maini wazee wakunyapianyapia wa Ufipa.
Wewe utakuwa mgonjwa waakili. Ukilala ukiamka Ufipa. Si mnasema chama chao kimekufa? Au bado kipo?
 
Kwa hiyo unamaanisha wapinzani hawajui hili?? Au wewe ndio ulikuwa hujui??
Kunakitu kimekupita,ila endelea kifatilia utakuja kujua siku za usoni hata kama muda utakua emepita.
 
Wewe utakuwa mgonjwa waakili. Ukilala ukiamka Ufipa. Si mnasema chama chao kimekufa? Au bado kipo?
Pole sana kwa maumivu makali niliyokupa,jifute na kanga yako alafu patapoa,sawa Baby?
 
Kwaiyo Mwamakula kafanya maombi ya kuuwa watu?
Pole sana dada.
 
Haki zake kama
Mshahara,
Kujengewa nyumba,
Na mengine

Karibu mtujuze
 
Haki zake kama
Mshahara,
Kujengewa nyumba,
Na mengine

Karibu mtujuze
Wewe ni mwana familia nini? Unataka kusema serikali inaanza kuwatega baada ya siku 100? Anyw ngoja wajuzi wa mambo waje
 
mjane wa kwanza ni mama maria nyerere ana nyumba,analipwa kila mwisho wa mwezi,na ulinzi 24hrs.

wa pili mama karume,naye ni hivyo hivyo.

wa tatu ni mama anna mkapa,naye ni hivyo hivyo.

wa nne ni mama janet magufuli,naye ni hivyo hivyo.

urais raha bana,ndio maana jiwe alipunguza mshahara na kuugawa barabarani tu,maana ni kama hauna kazi.
 
Mawaziri wastaafu he
Maspika wastaafu je
 
Kwann Wakristo ndio wanaongoza kwa ujane kuliko waislamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…