Rais anatoa wapi fedha za kuanzisha Samia scholarship? Tuache mchezo na fedha za umma kisiasa. Fedha zirudishwe HESLB!

Rais anatoa wapi fedha za kuanzisha Samia scholarship? Tuache mchezo na fedha za umma kisiasa. Fedha zirudishwe HESLB!

Will be wisely if that amount will be directed to student loans board! Having two instutions performing the same duties is wastage of public money and its illegal use….!

Who fund Samia Scholarship? Where this money coming from? T
 
Unauliza swali ahalafu unasema "zirudishwe HESLB".

Kama unajuwa zinatoka HESLB kwanini unauliza" anazitowa wapi?".

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Fedha za HESLB zinaruhusiwa kutapakanywa na kutumiwa kwa manufaa ya kisiasa? Wakati huo kuna vijana wenye uhitaji wamekosa mikopo?!
 
Kwanza angeelewa pesa za kufanya Royal Tour zimetoka wapi asinguliza kuhusu Samia Scholarship.

Kwa kumjuza tu, kuna watu sadaka zao ni kubwa sana na zimelenga kwenye elimu.
Kiongozi / mtumishi wa umma haruhusiwi kupokea sadaka/zawadi na kutumia kwa jina lake kwa manufaa ya kisiasa! Angekuwa na nia njema fedha hizo zingeelekezwa bodi ya mikopo! Usiwe MPUMBAVU
 
So mara ya kwanza kwake kufanya hivyo kama unakumbuka miaka ya 2012 alishawahi kufanya hivyo kwa kundi la mabinti mpaka wakapewa jina la watoto samia
Usiwachanganye Salma na Samia. Salma Kikwete ndiye alikuja na Watoto wa mama Salma kupitia fedha za mashirika wafadhili. Yule mama alijua kazi ya first lady.

Sasa hapa kuna Samia Scholarship ambayo kweli inaleta taharuki ya kuwepo mgongano kimaslahi na serikali pamoja na HESLB wenyewe. Ukiwa raisi ni ngumu/haipaswi kuwa na mradi binafsi unaohudumia wananchi.
 
Wewe wacha kutafsiri maneno utakavyo wewe, ni ujinga huo. Nakwambia sadaka unasema zawadi. Sadaka siyo zawadi.

Nyerere alishawahi kupewa dadaka na Gadafi akajenge msikiti Butiama, unalielewa hilo? Hajasema mpaka kafa, mama Maria ndiyo akazitowa vaada ya Nyerere kufa.

Unauliza anapewa yeye sadaka kama nani? Hivi huelewi mama Samia ni nani Tanzania hii, Au ni ujinga wako uliousomea tu?
Sadaka ni mchango au zawadi kwa madhumuni ya kiimani..wanaompa hiyo sadaka hawafahamu panapostahili kuipeleka? au yeye anayepewa hajui kuwaelekeza wanaompa pa kuipeleka sadaka yao?
Yeye hawezi kupokea sadaka kama Mali yake halafu akapangia nini cha kufanya akiwa hapo km Rais..!
Mambo yaliyotokea kipindi cha Nyerere si lazima yote yawe sahihi na wewe kuyafanya rejea wakati kkla leo sheria na miongozo ya uongozi wa nchi inabadilika.
 
Sadaka ni mchango au zawadi kwa madhumuni ya kiimani..wanaompa hiyo sadaka hawafahamu panapostahili kuipeleka? au yeye anayepewa hajui kuwaelekeza wanaompa pa kuipeleka sadaka yao?
Yeye hawezi kupokea sadaka kama Mali yake halafu akapangia nini cha kufanya akiwa hapo km Rais..!
Mambo yaliyotokea kipindi cha Nyerere si lazima yote yawe sahihi na wewe kuyafanya rejea wakati kkla leo sheria na miongozo ya uongozi wa nchi inabadilika.
Hapana, zawadi na sadaka ni vitu tofauti kabisa. Zawadi inaweza kuwa yako na zawadi zote zina kanuni kitaifa.

Unafikiri anaetowa sadaka haelewi anataka sadaka yake iende wapi mpaka wewe umpangie?

Lakini, wewe una mtazamo wako na uelewako, amini ujuwavyo. Elewa tu, humpangii rais wala humapngii mtowa saaka yeyote aelekeze wapi sadaka yake.

Wewe utakuwa kati ya Wajinga ndiyo waliwao. Umeshasomeshwa ujinga sadaka ni fungu la kumi tu.
 
Kiongozi / mtumishi wa umma haruhusiwi kupokea sadaka/zawadi na kutumia kwa jina lake kwa manufaa ya kisiasa! Angekuwa na nia njema fedha hizo zingeelekezwa bodi ya mikopo! Usiwe MPUMBAVU
usodanganye watu, anapokea zawaddi, anapokea sadaka na zote zina sheria yake.

Sheria ya kwanza ya sadaka ni kuifikisha alipotaka mtowa sadaka.

Unafahamu kuwa jakaya Heart Institute, Hospitali ya meno, na UDOM, zyote hivyo vimejengwa kwa sadaka za watu kwa asilimia kubwa?
 
Fedha za HESLB zinaruhusiwa kutapakanywa na kutumiwa kwa manufaa ya kisiasa? Wakati huo kuna vijana wenye uhitaji wamekosa mikopo?!
Hakuna poesa za HESLB kwenye Samia Svcholarship.

Pesa za HESLB zina vigezo vyake, kama hutimizi vigezo, usimalaumu mtu, mlaumu mama'ko anaeshindwa kukulipia, badala ya kukuwekea pesa za masomo yeye pesa alikua anazinywea na kupeleka zawadi za kitchen party kwa mashoga zake.
 
Ila sister kuna sheria za kumbana mh.Rais kwenye kupokea zawadi binafsi....ili kuepuka kuja kutumika kama ushawishi wa kufanya maamuzi kwa upendeleo...
And
Kuna mambo binafsi ukiwa cheo cha juu kama hiko hautakiwi ufanye, coz yataibua mana yataibua mijadala ya uwajibikaji....Yeye kama kiongozi mkuu na mwenye maamuzi ya mwisho ya nchi,ameshindwaje kuboresha mfumo wa serikali ili wahusika kupata huduma ya namna hiyo....
Unataka kumfundisha Rais sheria kwa maana Ikulu hakuna wanasheria?

Fikiri.
 
Hizo sadaka za Gaddafi au msikiti WA Gaddafi ulijengwa lini ? Baada ya Nyerere kufariki au ?? Kiasi cha kusema Nyerere alizificha kama zake Hadi Mama Maria ndio kazitoa ??
Kwanza unajua kwanini Gaddafi alizitoa.
Ndiyo, mama maria ndiyo alizitowa baada ya nyerere kufa.
 
Ndio nchi kwa mara ya kwanza ilipata bomu. Ila mkuu mstaafu majeshi na mlaumu sana mpaka kufa kwangu hata akikimbilia kanisani mpaka huko Italy motoni tutamkuta wa wale wabakaji wajeshi
Umesema ukweli kabisa mwamba! Tanganyika Kwisha! Ukuwadi umezidi kuimaliza na wasomi wamekaa kimya kama mazombies!
 
Hapana, zawadi na sadaka ni vitu tofauti kabisa. Zawadi inaweza kuwa yako na zawadi zote zina kanuni kitaifa.

Unafikiri anaetowa sadaka haelewi anataka sadaka yake iende wapi mpaka wewe umpangie?

Lakini, wewe una mtazamo wako na uelewako, amini ujuwavyo. Elewa tu, humpangii rais wala humapngii mtowa saaka yeyote aelekeze wapi sadaka yake.

Wewe utakuwa kati ya Wajinga ndiyo waliwao. Umeshasomeshwa ujinga sadaka ni fungu la kumi tu.
Wewe ni mpumbavu wa kujitakia, dini yako imekupumbaza kwa kiwango ambacho kila unaloliona kwako lazima ulitafsiri kwa dini yako..
Kwanza Rais harusiwi kuanzisha jambo lolote linalopingana na utaratibu uliopo, huwezi kupewa sadaka halafu wewe ukaanzisha mfuko binafsi wa kusomesha watoto wakati serikali unayoiongoza inafanya jambo hilo hilo..ndio maana hakuna mahali popote Rais aliyeko madarakani anaanzisha wakfu/foundation kwa ajili ya ufadhili wowote mambo ya maendeleo..na hakuna mtu yeyote mwenyeji au mgeni anaweza lazimisha sadaka yake aitoe vile yeye anataka nje ya utaratibu uliopo! Halafu nyinyi mentality hiyo ya kudhani mnaweza fanya lolote hata km liko je ya utaratibu uliopo ni ujinga wa hali ya juu..hata km mnataka political mileage huwezi ukaifanya kwa namna inayoonyesha kiwango cha ujinga ulio nao!
 
Unataka kumfundisha Rais sheria kwa maana Ikulu hakuna wanasheria?

Fikiri.
Wanaokaa au kufanya kazi ikulu ni malaika? kiburi cha maskini mpumbavu kabisa! kazi tuwape sisi, mshahara mnaopata ni pesa yetu..halafu unarefusha mabega as if msikiti ndio umewaweka hapo..you r so foolish!
 
Labda kaanzisha Presidential Scholarship Fund...ila kama zinaitwa kwa Jina lake inaweza kutoka mshahara wake. Msemaji wa Ikulu anaweza kuulizwa akatoa jibu.
Hivyo ndivyo inavyoitwa? Hata km ni kwa mshahara wake, je anaona ni sahihi kufanya hivyo..vp km kila kiongozi akaanza kufanya km anavyofanya yeye..huoni ni kutengeneza avenue za utakatishaji pesa?
 
Usitudanganye, na umechanganya maddesa, 2012 hakuwa that popular, Yule NI mama SALMA KIKWETE, na wale walikuwa mabinti waathirika WA UKIMWI kupitia mradi wao WA Mama Salma Foundation ambo ulikuwa mradi WA wake za Marais wote wa Aftika kipindi hicho kupigana vita dhidi ya UKIMWI.
Ma bad ni kweli nimechanganya madesa sorry Avery one ni Salma so Samia naomba ibadilike
 
Back
Top Bottom