ameifikisha? umekaririshwa ...tukia ubongo wako vizuri nduguMachungu moyoni yanakutesa sana. Huyo SSH keshafikisha treni ya SGR Dodoma na tunapokwenda ataimalizia kabisa kwa kuifikisha Kigoma/Mwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameifikisha? umekaririshwa ...tukia ubongo wako vizuri nduguMachungu moyoni yanakutesa sana. Huyo SSH keshafikisha treni ya SGR Dodoma na tunapokwenda ataimalizia kabisa kwa kuifikisha Kigoma/Mwanza.
Miradi yote aliyoanzisha hayati JPM inakwenda kumalizwa tena ndani ya wakati.ameifikisha? umekaririshwa ...tukia ubongo wako vizuri ndugu
Hizi ndizo akili za vijana ambao ni taifa la leo na kesho! Inasikitisha sana.Hakuna poesa za HESLB kwenye Samia Svcholarship.
Pesa za HESLB zina vigezo vyake, kama hutimizi vigezo, usimalaumu mtu, mlaumu mama'ko anaeshindwa kukulipia, badala ya kukuwekea pesa za masomo yeye pesa alikua anazinywea na kupeleka zawadi za kitchen party kwa mashoga zake.
Samia hatoi hela Zozote, ni Ushenzi na Uchawa wa viongozi kubadili jina za hizo scholarship, zilikuwepo kabla ya Samia na hata kabla ya JPM . Wizara ya Elimu na Wizara ya Afya kila mwaka wanatoa hizo scholarship kwa ajili ya kufadhili postgraduate. Ushenzi wa viongozi na uchawa, kuanzia mwaka Jana hizo scholarship wakaanza kuzipa jina la Samia Scholarship….. but ni zile zile zinazotokaga kabla hata Samia hajakaribishwa Dar kutoka kizimkazi.Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Huyu mama amezidi kwa kweli.Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Naona tunajiandaa na mabadiliko ya noti 😄Mwisho wa haya yote utakuwa mbaya na wa aibu kubwa
Sasa hivi hata ufadhili wa kusomesha madaktari bingwa/bingwa bobezi umebadirishwa jina unaitwa 'Samia scholarship' wakati kipindi cha Magu kurudi nyuma ufadhili huu ulikuwepo lakini jina la Rais halikutumika. Kwa hiyo ni aina fulani ya uchwawa(viongozi wa chini wanajipendekeza kwa Rais) na pia kumpa political mileage RaisKisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Umesahau kuna zile tractor pia? Ziko kibao sijui anatoa wapi!Afu kuna zile pikipiki.... au basi..