Rais anatoa wapi fedha za kuanzisha Samia scholarship? Tuache mchezo na fedha za umma kisiasa. Fedha zirudishwe HESLB!

Rais anatoa wapi fedha za kuanzisha Samia scholarship? Tuache mchezo na fedha za umma kisiasa. Fedha zirudishwe HESLB!

Hakuna poesa za HESLB kwenye Samia Svcholarship.

Pesa za HESLB zina vigezo vyake, kama hutimizi vigezo, usimalaumu mtu, mlaumu mama'ko anaeshindwa kukulipia, badala ya kukuwekea pesa za masomo yeye pesa alikua anazinywea na kupeleka zawadi za kitchen party kwa mashoga zake.
Hizi ndizo akili za vijana ambao ni taifa la leo na kesho! Inasikitisha sana.
 
Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?

Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters

Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?

Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Samia hatoi hela Zozote, ni Ushenzi na Uchawa wa viongozi kubadili jina za hizo scholarship, zilikuwepo kabla ya Samia na hata kabla ya JPM . Wizara ya Elimu na Wizara ya Afya kila mwaka wanatoa hizo scholarship kwa ajili ya kufadhili postgraduate. Ushenzi wa viongozi na uchawa, kuanzia mwaka Jana hizo scholarship wakaanza kuzipa jina la Samia Scholarship….. but ni zile zile zinazotokaga kabla hata Samia hajakaribishwa Dar kutoka kizimkazi.

Utaona hata pesa za SGR , wanaziita pesa za mama zimejenga SGR, , utaseMa hizo pesa anatoa baba yake au baba Abdul . Mambo ya hovyo sana , this is the reason Africa remains cheap and poor .
 
Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?

Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters

Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?

Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Huyu mama amezidi kwa kweli.
 
Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?

Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters

Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?

Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Sasa hivi hata ufadhili wa kusomesha madaktari bingwa/bingwa bobezi umebadirishwa jina unaitwa 'Samia scholarship' wakati kipindi cha Magu kurudi nyuma ufadhili huu ulikuwepo lakini jina la Rais halikutumika. Kwa hiyo ni aina fulani ya uchwawa(viongozi wa chini wanajipendekeza kwa Rais) na pia kumpa political mileage Rais
 
Yale yale.ya EOTF ya.mama anna mkapa. Sijui imefia wapi iliwasomesha wachaga.akina temu marekani
 
Back
Top Bottom