Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Machungu moyoni yanakutesa sana. Huyo SSH keshafikisha treni ya SGR Dodoma na tunapokwenda ataimalizia kabisa kwa kuifikisha Kigoma/Mwanza.mwizi akikomaa hujifanya mtakatifu ndicho kinachoendelea nchini. Walianza taratibu kuiba...hawakukemewa ..wakaona kuiba ni jambo la kawaida...sasa wamekomaa na uizi wao...hayo ndio matunda ya wezi wabobevu. Labda kazitoa kizimkazi...tutajuaje?? ila ukiitizama kizimkazi nayo kama imechoka haina pesa .....labda miujiza ndugu yangu
Hawa kazi yao ni kutwa kutanua magoli. Likimalizika suala moja wanaibuka na jingine.Kwanza angeelewa pesa za kufanya Royal Tour zimetoka wapi asinguliza kuhusu Samia Scholarship.
Kwa kumjuza tu, kuna watu sadaka zao ni kubwa sana na zimelenga kwenye elimu.
CCM Ni majizi mkuuKisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Usiwaweke wote waliomo humu katika kundi la vijana wa 2000. Faizafoxy pengine analingana na Mama yako Mzazi.Humu ndani kuna vijana wa ajabu sana,yani kila kitu cha nchi huwa wanajifanya wanajua/kukosoa Serikali,yani vitu vya ajabu tu..
Kama Tulia na mfuko wa jimboPesa za umma zinatumika Kwa manufaa ya mtu mmoja ili kumjenga kisiasa ili 2025 kwenye kampeni awe anasema nimetoa ufadhili wa masomo Kwa elimu ya juu.
Usijibu majibu mepesiSasa Mkuu si Ungeenda straight tu…Kama unataka pia Freeman Scholarship ? Ili na yeye apate mileage..
Swala ni zimetoka wap? Hata ziwe ni sadakaKwanza angeelewa pesa za kufanya Royal Tour zimetoka wapi asinguliza kuhusu Samia Scholarship.
Kwa kumjuza tu, kuna watu sadaka zao ni kubwa sana na zimelenga kwenye elimu.
Fanya basi msaada wa kumtoa huko gizani jamaniUnauliza swali ahalafu unasema "zirudishwe HESLB".
Kama unajuwa zinatoka HESLB kwanini unauliza" anazitowa wapi?".
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Ni miaka mingapi toka Nyerere amefariki na Maria kuzitoa hizo fedhaNdiyo, mama maria ndiyo alizitowa baada ya nyerere kufa.
alikuwa mlaghai siku nyingiSo mara ya kwanza kwake kufanya hivyo kama unakumbuka miaka ya 2012 alishawahi kufanya hivyo kwa kundi la mabinti mpaka wakapewa jina la watoto samia
Nalijua sana hilo...Nasemea hao vijana wengineUsiwaweke wote waliomo humu katika kundi la vijana wa 2000. Faizafoxy pengine analingana na Mama yako Mzazi.
Hahaha ,,,Madam,kwenye kufuata sheria kwa nchi,ni sisi tu wa huku chini ndiyo tunafuata...huko juu nani atamfunga paka Kengele.Unataka kumfundisha Rais sheria kwa maana Ikulu hakuna wanasheria?
Fikiri.
Mkuu umenikumbusha, hivi swala la DP WORLD liliishia wapi?DP world
Wanakopa tutalipa sisi harafu wao wanajichotea tuKisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Afrika ni hovyo sana.Hahaha ,,,Madam,kwenye kufuata sheria kwa nchi,ni sisi tu wa huku chini ndiyo tunafuata...huko juu nani atamfunga paka Kengele.
Yaani akiguswa madamu huwa unawaka moto hata zile busara zako huwa zinakaa pembeni......kumbe huwa mnapambana sababu ya wivu tu na sio kwa sababu Magufuli alikuwa dikteta na mfuja mali.Unauliza swali ahalafu unasema "zirudishwe HESLB".
Kama unajuwa zinatoka HESLB kwanini unauliza" anazitowa wapi?".
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Huo ni utapeli kuongeza ushawishi kwa jamii kuwa anakubalikaKisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika
Kisheria bodi ya mikopo ya elimu ya juu pekee ndiyo bodi rasmi ya serikali ya kutoa mikopo, kulingana na vigezo mbalimbali vilivyowekwa. Wako vijana wanaokosa mikopo wakati wanavyo vigezo vyote, kwanini fedha hizo zielekezwe kwa wengine ilihali ni fedha ya umma na inatolewa kwa mfumo na utaratibu maalum unaozingatia mahitaji?
Natambua kuna taasisi binafsi zinazotoa scholarship kwa wanafunzi wanaofanya vizuri, lakini taasisi hizo zinatumia fedha zake binafsi na nyingi huwa ni taasisi na kampuni za biashara zinazotumia fedha binafsi, mfano benki, Mo Dewji foundation n.k au kama ni taasisi za serikali mfano benki kuu, huwa kuna utaratibu maalum na kuanzia ngazi ya Masters
Je, fedha hizi za Samia zinatoka mfuko gani? Zinatoka kwenye mfuko wake binafsi? Kama sio, fedha hiyo inatoka wapi? Utaratibu ni upi ambao labda ni bora kuliko utaratibu ulioidhinishwa kwa sheria ya bunge?nini maana ya bodi ya mikopo HESLB?
Tunaomba maelezo kutoka wizara husika