myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
👍👍Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....
Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani
Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.
Uwakilishi is not a big deal.
Je hairuhusiwi Rais wa JMT kumpa majukumu ya kimataifa mmoja wa wajumbe katika hilo baraza la mawaziri...??Mwandiko wako sijaipenda.
Mjumbe wa baraza la mawaziri.
Chamwino wabakie wagogo!Nitaenda magogoni na speaker
Najua mama haipendi Dodoma
Chamwino italala na walinzi
Atatembea na mkasi kufanya ufunguzi mkuuMakamu wa rais ana kazi gani?
JPM Aliapa kuulinda...kila Rais aliapaMuungano gani huu hauna manufaa yoyote kwa yoyote. Ni kama tumejimilikisha jini lisilozalisha,linanyonya. Kwetu Watanganyika mpaka sasa huo muungano hauna maana yoyote. Nao kwao wazanzibar hauna maana pia. Tena nahisi tumerudisha nyuma sana. Wangekuwa mwenyewe wangekuwa mbali sana hao,maana hawana hizi janja janja za bara
Kwani makamu wa Rais ni mznz?Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
Hivi budget ya bara huwa inaenda kutekelezwa zanzibar? kama haiendi sasa hao wabunge huwa wana kazi gani bungeni, kusema kweli huwa sielewi hapo.Muungano gani huu hauna manufaa yoyote kwa yoyote. Ni kama tumejimilikisha jini lisilozalisha,linanyonya. Kwetu Watanganyika mpaka sasa huo muungano hauna maana yoyote. Nao kwao wazanzibar hauna maana pia. Tena nahisi tumerudisha nyuma sana. Wangekuwa mwenyewe wangekuwa mbali sana hao,maana hawana hizi janja janja za bara
Hivi hizi chuki za nini??Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?
Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
SUKUMA GANG tulizeni mshono.....Anaanza kupita njia za jiwe
Kaanza kupandisha mabega huyu
Hawezi alafanya kazi awafurahishe wote. Kuna mahali hamtakubaliana.Mwinyi hana kazi za kufanya huko Znz? au ndio wameanza kufanya kazi kishkaji hawa waswahili?
Kwani Dr. Mpango ana kazi gani? naona hii nchi sasa inaanza kujiendea tu kama gari bovu mtaroni.
Mhh ...hiyo kumtuma mtu yoyote kwenye kikao Kama hiccho unatudngnya!Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....
Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani
Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.
Uwakilishi is not a big deal.
Point of correction uwakilishi is a big deal, anayatumwa anaenda kufanya maamuzi kwa niaba ya nchi, atakachokifanya au kutia sahii kinaibind nchi.Akienda kwenye mkutano,anaenda kama mwakilishi wa Rais wa Tanzania,haendi kama Rais wa Znz....
Mhe Samia angeweza kumtuma yeyote aende kumwakilisha either awe madarakani au asiwe madarakani
Mfano the late JPM alishawahi kumtuma mzee Mkapa na Mzee kikwete mara nyingi waende kumwakilisha.
Uwakilishi is not a big deal.
Ampige benchi na abaki na Kazi yake ya kumiliki mkasi ,bahati nzuri kufanya hivyo ni favor tuuSafi kaona vp kaanza panda mabega maana lately anatoa matamko as if yupo juu ya Mheshimiwa Rais wetu mpenzi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]yeye anatembelea vituo vya watoto yatima...
Muda utaongea tusubilie.Makamu wa rais hayupo, au sarakasi ndo zimeanza mapema..
😂aliwahi kumtuma India HospitaliJiwe alimtuma Kinana, his language was very raw.
Zuchu wakimgegeda auVideo ya zuchu jamani