Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kukonda kwa tembo hakumfikiii swala. Pascal hata kama ni maskini hawezi kufikia wa kwako!Ni sawa tu maana Paskali Mayalla umri umeenda na hali yake ni ngumu hapa mjini. Ifahamike Paskali kakulia mjini na hana uwezo wa kurudi kijijini maana hakuwa amejipanga. Hivyo kuliko aishi hapa mjini hadi aanze kudhalilika, ni vyema akasaidiwa kwa kupewa ulaji wowote kama wazee wengi wastaafu huko CCM.
Kama ni kujipendekeza ameshafanya hivyo sana, je mamlaka ya uteuzi inataka afanyeje tena? Naunga mkono asaidiwe asije kudhalilika kwa kuanza kutuomba bia bar.
Wapo wazee wengi tu kwenye Teuzi ! Paskali hana uzee wowote ule. !!Kuteuliwa uzeeni ? Awe mwenyekiti wa bodi ipi ?
Kumbe huijui Ccm vizuri ! Kule watu genius wenye akili nzuri zenye uwezo wa kuhoji huwa zinaogopewa na hazipendwi !!watu wa namna yake ni hatari sana kwa taifa. Ila anfit kwenye mfumo wa ki CCM.
unaufahamu unri wake ?Wapo wazee wengi tu kwenye Teuzi ! Paskali hana uzee wowote ule. !!
Wenzie wanarusha kipindi Cha sisi Ni Wazalendo kina Ben Mwanantala nk Sasa yeye kwa Nini haendi huko?🤸🤸Naumga mkono
Pascal Mayalla atengenezewe Cheo cha Msemaji mkuu wa Miradi ya Maendeleo
P utanishukuru baadae!
Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Amtumie kwenye nini?..
ATAANDIKA HABARI ZA MASIFU KAMA KAFULIZA au una maanisha niniRais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Walau hata kwenye tume Kama ya juzi ingemfaaCCM ukiwa mzee ndio unapewa sehemu ya ulaji, huoni ile tume kaunda mama juzi ya kufuatilia sijui udhaifu wa mifumo na utawala wa sheria, wote ni wazee, na kwa kiwango kikubwa wao ndio walikuwa wasimamizi wa uchafu ambao leo wanatakiwa wasimamie ufumbuzi wa matatizo waliyoshindwa kuyatatua wakiwa ofisini!
Pascal mwenyewe anasemaje?Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Siufahamu lakini hata kama yupo kwenye sixties bado ana nguvu na ana uwezo mkubwa na mentally yupo fit !!unaufahamu unri wake ?
Ngoja tusikilizie atasemaje maana Namuona yupo anaadika hapaPascal mwenyewe anasemaje?
Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Mwamba! 👊Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.
Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.
Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.
Mungu Ibariki Tanzania.
P
Ukiteuliwa nakutafutia bodigadi mmoja, madanga matatu na machawa wawili.Mkuu Meneja Wa Makampuni , kwanza heri ya mwaka mpya!, pili asante kuniombea kwa Mama aniteue nimsaidie chochote kwenye serikali yake. Hii ina maana kubwa sana kwangu, kwa haya ninayoyafanya, kumbe kuna watu humu wana yaona na ku appreciate, hivyo it's a very good encouragement kwangu kuendelea kuyafanya. Asante.
Mtu ukiwa na uwezo wa kuisaidia nchi yako, unaweza kuisaidia pale pale ulipo bila kuhitaji kuteuliwa kwenye nafasi yoyote.
Hiki ndicho nimekuwa nakifanya siku zote na naendelea kufanya.
Naamini bandiko hili uliwahi kuliona, Je, wajua Sio Kila Kumpongeza, ni Kujikomba/Kusaka Teuzi? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!, naomba kukuhakikishia ujumbe huu umemfikia Rais Samia, na anauheshimu.
Mungu Ibariki Tanzania.
P
Bora mfanye kumuombea Direct maana colum kila siku inampita sio vizuri jamani mnaona kabisa mtu anavyopambana humu JF kuimba mapambio kwa staili yake, lakini mnajifanaya hamuoniRais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
Naunga mkono hoja.Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.