Rais Joe Biden awaalika Viongozi wa Africa kwa majadiliano Washington

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji635][emoji635][emoji123][emoji123]
 
Anawapa posho, malazi, all other incetives inclusive and all president/king/Queen deligates! From there you will have to meet a statement; "The hand that provides is above that hand that receives".
Hivi kwa nini yeye ndo asije kwenye mkutano wa AU huku Africa.
Yani aite nchi zote kama mbuzi huko Marekani wakati yeye anaweza kuja AU Ethiopia.

The meeting must have something to do with benefit of America.
 
Ma Raisi wanaojielewa hawataenda, watatuma tu wawakilishi ila kimsingi ni mtego huo wa kuona nani anaunga mkono ushoga na nani haungi mkono ili kusudi waje kuanzisha vurugumechi na kuiba rasilimali.

Siku zote tulikuwa tunafanyiwa the easy way through bogus treaties ila kwa sasa kitakachofata ni the hard ways kwa njama za vurugu wanachukuliwa kundi la walamba asali wanalambishwa buyu vurugu zinaanza kuikataa CCM biashara inaisha.😂😂😂
 
Maza anavopenda safari, I bet hii hawezi kukosa.
Pia viongozi wa Africa walichoitiwa hapo ni kuhusu Urusi, hayo mengine Ni mengineyo.
 
Hivi kwa nini yeye ndo asije kwenye mkutano wa AU huku Africa.
Yani aite nchi zote kama mbuzi huko Marekani wakati yeye anaweza kuja AU Ethiopia.
walaumu AU kwa kutomualika bila kusahau majengo ya AU yamejengwa na China na zipo shutuma kuwa China anadukua kila kinachozungumzwa huko AU sabab kaweka vinasa saut na hidden video camera
 
sio marekan tu hata warusi walipambana iwe hivyo lengo wapate soko la viwanda vyao na ajira kwa watoto , ni kituko mtu kupoint USA as if kuna upande mwema kwetu waafrika , its too funny , lzm tuamke na kimufight kiume haya mambo ya kujibebisha tutachukua miaka kupiga hatua
 
Hii bado imekaa kikoloni zaidi.

Je, gharama za safari na kulala mahoteli nani analipa?

Yaani sisi waafrika hatuko tayari kubadilika.
mtu anasherehe unasema kwann asije kwenu , hv waafrika tumerogwa ? mualiko sio amri ni ombi la kushirik tu walalamikieni viongoz wenu mnaochagua kwa malipo ya buku mbili plus tshirt za kijan , akil mtu ang
 
Hivyo viwanda unavyoviongelea vingi viliachwa na wakoloni au vilijengwa kwa msaada baada ya uhuru na vilikuwa vinaendeshwa kwa hasara. Kama viwanda vingekuwa ni vinaendeshwa vizuri wala tusingetegemea misaada ya Wamarekani yenye masharti mengi.
ttzo ni viongoz wetu wala sio hao tunaowalaumu kila siku yaan wapambane kuiangusha Afrika waiache China na India zinapiga hatua , afrika ndo makao makuu ya comedy dunian
 
Anahaha kuungwa mkono juu ya vita yake (kwa kutumia damu ya wa-Ukraine) na Warusi!! Jasho limnamtoka!
Avamie Urusi aue Urusi ila alalamikiwe msaidiaj , mlitaka aachwe tu kuua km alivyowaua watu huko Georgia 2008 au huko Moldova alivyopora jimbo au huko Beralus mwaka 2020 alivyoua zaid ya raia 200 ili Lukashenko abakie madaraki kwa mwaka wa 27 au huko Kazaskan mwaka 2021 raia wameuawa kwa silaha za msaada kutoka Urusi ili kumlinda Kibaraka wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…