digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mwalimu wako wanlkingereza Ni mhutu au? Unechemka Mkuu,hebu angalia hata kwa msaada wa Google,usikimbilie kukosoa ikiwa huna uhakikaNi responce sio response
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wako wanlkingereza Ni mhutu au? Unechemka Mkuu,hebu angalia hata kwa msaada wa Google,usikimbilie kukosoa ikiwa huna uhakikaNi responce sio response
Mbona hizo sera za ujamaa hazijaharibu uchumi wa China. tatizo sisi waafrika [ watu weusi ] tuna matatizo Sana kwenye bongo zetu.
Dah, CocaCola unayokunywa imezalishwa moja kwa moja Marekani? Lakini kwa kila elfu moja ya CocaCola kuna kama mia tano hivi inamwendea mmarekani. Hata mbegu za mahindi ndivyo hivyo hivyo. Popote zinapozalishwa teknolojia ya aina ya mbegu ni ya wamagharibi na hizo mbegu unavyozinunua kila msimu kuna senti zinamnufaisha mwenye trademark.Hizo mbegu za mahindi ndiyo zinatoka Marekani? Hebu lete ushahidi kama ni kweli.
Bidhaa za westerners zinazozalishwa China kwa mfano Nike sisi hatuzimudu. Tunanunua feki ambazo Wachina wenyewe wametengeneza. Sasa Mmarekani anapata faida gani sisi tukinunua Nike feki au Iphone feki?
Wataenda kwa tajiriNa Putin atoe mualiko the same date tuone respond itakuwa wapi.
Obama pia aliwaita wakaitikaHivi kwa nini yeye ndo asije kwenye mkutano wa AU huku Africa.
Yani aite nchi zote kama mbuzi huko Marekani wakati yeye anaweza kuja AU Ethiopia.
Kipindi Obama anawaalika ulikuwa bado unabebwa mgongoni.Asante Russia kwa kutueshimisha leo hii tunaalikwa sio shit hole tena USA ameona ameanza kupoteza ushawishi wake duniani ndio mahana anawaalika kabla ya Russia kufanya alichofanya ukraine ilikuwa inapigwa simu tu tena siyo na rais wa marekani bali waziri wa mambo ya nje unapewa order then una follow ukikataa wanakukatia misaada putin amewafundisha nchi nyingi kuwa west awapo kama vile walivyokuwa wanatukalilishwa yaani watu smart,grnius etc. baada ya kuona Russia amepania kuja kuwekeza na kuleta tech yake africa na wao ndio wanaamka uzuri wa sisi tanzania atufungamani na upande wowote akija Russia sawa akija USA na yeye sawa ..
Another thing: westerners wameadvance sana kwenye ukoloni wao mamboleo. Hata kama kitu umenunua kutoka China au Singapore lakini mwenye kiwanda na mtaji unaweza kukuta ultimately ni mmagharibi, na hapo sijaingiza "soft-products" kibao unazowalipa bila kujijua.
The outsourcing of labor overseas is a natural result of the globalization of markets, and businesses' drive to cut costs to maximize profits. If workers in countries such as India or China can do the same job for a fraction of the price that domestic labor demands, those jobs will be sent abroad
CocaCola unayokunywa imezalishwa moja kwa moja Marekani? Lakini kwa kila elfu moja ya CocaCola kuna kama mia tano hivi inamwendea mmarekani. Hata mbegu za mahindi ndivyo hivyo hivyo. Popote zinapozalishwa teknolojia ya aina ya mbegu ni ya wamagharibi na hizo mbegu unavyozinunua kila msimu kuna senti zinamnufaisha mwenye trademark.
Kenya ni nchi isiyo faa imeoza kila sekta hakuna Cha kujifunza mapinduzi ya kimaendeleo Kenya . Hiyo nchi haina tofauti na Ghana na Nigeria . Afrika kote kumeoza hakuna Cha kujifunza kuhusu mapinduzi ya kiuchumi labda tuvuke nje ya mipaka ya Afrika na kuenda kujifunza huko Asia ya mbali na ulaya Ila Afrika inanuka uongozi mbovu kila kona.Zimbabwe ilikuwa ni nchi yenye uchumi mzuri, inayozalisha na kuuza chakula na bidhaa za viwandani kwa wingi nje mpaka pale Mugabe alipoanzisha vurugu zake za mashamba na ubabe wa kisiasa.
Kenya ni nchi yenye uchumi mkubwa na mzuri kuliko nchi zote za Africa Mashariki pamoja na migogoro ya kisiasa waliyoipitia kwa muda mrefu sana.
Nchi karibia zote duniani zinakopa na zina Rushwa, hata huko China Rushwa ipo sana tu.
Kwa hiyo unataka kusema baada ya kuingia Deng Xiaoping 1978 ndipo ujamaa ukazikwa china?🤔Deng Xiaoping alipomrithi Mao aliichukua China yenye uchumi uliokuwa umechoka sana kwa sera za Kijamaa, miaka ya 1980 akaufungua uchumi wa China hadi kwa makumpuni ya nje ya US, Japan na Ulaya, akalegeza mikono ya serikali katika ku control uchumi na pia akatengeneza mazingira ya sekta binafsi kufanya biashara bila bugdha nyingi za serikali China, hapo ndipo mabadiliko makubwa ya kiuchumi unayoyaona leo China yalipoanzia.
Marais wote wataendaMa Raisi wanaojielewa hawataenda, watatuma tu wawakilishi ila kimsingi ni mtego huo wa kuona nani anaunga mkono ushoga na nani haungi mkono ili kusudi waje kuanzisha vurugumechi na kuiba rasilimali.
Siku zote tulikuwa tunafanyiwa the easy way through bogus treaties ila kwa sasa kitakachofata ni the hard ways kwa njama za vurugu wanachukuliwa kundi la walamba asali wanalambishwa buyu vurugu zinaanza kuikataa CCM biashara inaisha.[emoji23][emoji23][emoji23]
WACHAMBUZI BOBEVU WAKITANZANIA WAJITOSA KUJADILI JINSI YA NCHI KUJIKWAMUA KIUCHUMI IENDE MBELE KWA KASI
Dr. balozi Ramadhani Dau na wachambuzi wengine wazungumzia kuhusu uchumi, Business Council n.k
Source : mwanahalisi TV
Kwa hiyo unataka kusema baada ya kuingia Deng Xiaoping 1978 ndipo ujamaa ukazikwa china?[emoji848]
Kama unasema na kuamini kuwa Deng Xiaoping alizika ujamaa China kwa kuruhusu wawekezaji. Je ni nani aliyeleta wazo na kuanzisha sera ya ujamaa wenye sifa za kichina ndani ya nchi ya China?🤔Ulikuwa ni mwanzo wa kuanza kuzikwa kwa ujamaa China na katika utawala wake sera nyingi sana za kibepari ziliruhusiwa China.
Ulikuwa ni mwanzo wa kuanza kuzikwa kwa ujamaa China na katika utawala wake sera nyingi sana za kibepari ziliruhusiwa China.
Umekaa kwa wapi?asipoenda mniite UMBWA..
Ulikuwa ni mwanzo wa kuanza kuzikwa kwa ujamaa China na katika utawala wake sera nyingi sana za kibepari ziliruhusiwa China.
Kama unasema na kuamini kuwa Deng Xiaoping alizika ujamaa China kwa kuruhusu wawekezaji. Je ni nani aliyeleta wazo na kuanzisha sera ya ujamaa wenye sifa za kichina ndani ya nchi ya China?[emoji848]