Rais Magufuli afanya Mabadiliko ya teuzi, amteua Mhandisi Mwita kuwa RC Njombe

Wananchi wepi hao unaowasemea kuwa wamechoka na tumbua tumbua ya jembe magufuli? Jisemee mwenyewe,mbona Mimi sijachoka?

JPM hapendi mazoea kazini acha watu wazoee kuishi kwa maadili ya kiutumishi wa umma.
 
Mbona hata hujuwi kinacho endelea una anza laumu sibora ukae kimya. Nani kamtumbuwa? Au umeelewa nn kwenye mada some time waza postive
Lakini tuwe wakweli tu,kwani hili sio mala ya kwanza kutokea awamu hii!! Yaani hadi una toa press releases ya jina la mteuliwa ina maana kila sehemu umeshajiridhisha, ni ajabu ndani ya siku mbili tu ule uteuzi una utengua tena!!! Kuna tatizo kwenye mteuaji
 
Kafanya kazi siku mbili tu

Hahafanya kazi ndo alikua anasubiria akaape kesho Chamwino sasa anapangulua mabegi mwenzake wa Mwanza ndo anaenda Chamwino

Hii ilishawahi kutokea pia kwa Christina Mndeme na Bilinith Mahenge

Mama Mndeme alikua DC Dodoma akachaguliwa kuwa RC pale pale Dom usiku huo akaanza kujimwambafai na kuwaambia DED na watu wengine kuwa watamkoma sasa amekua Boss wao kumbe msee anasoma msg(amezitrap mwenyewe alisema) asubuh kabla ya kwenda kuapa akachenji kota Mndeme akampeleka Ruvuma na onyo kali Mahenge akamleta Dodoma
 

Mkuu wa Mkoa asipokuwepo mara nyingi anakaimisha kwa DC wa wilaya ya mjini au DC senior kuliko maDC wengine kwenye huo mkoa
 
Naomba nielimishwe. Ninavyofahamu mimi vyeo vya RC na DC kama ilivyo uwaziri ni vyeo vya kisiasa na sio kiutumishi. Hawa, ukiwa sahihi, sio watumishi wa umma. Sasa mtumishi wa umma ( meneja wa Tanroads) anapoteuliwa kushika nafasi ya kisiasa ( Mkuu wa Mkoa) ina maana kuwa anachukua likizo kwenye utumishi wake wa umma? Kwa maneno mengine, atakuwa bado " permanent and pensionable"?

Amandla...
 
Ameanza sherehe kabla ya kiapo
Jumanne Fhika juzi tarehe 17/7 aliteuliwa na rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe, leo tarehe 19/7 katenguliwa...

Nini sababu,
1. Amekataa?
2. Hafai?
3. Ukosefu wa umakini wakati wa kuteua? au,
4. Mteuzi kadanganywa.
 
apewae ndie aongezwae! subiri zamu yako!
Mimi cheo changu cha baba wa familia ya watoto 13 wake 2 ni kikubwa kuliko cha Urais na nilishaapishwa mara 2 nisubiri tengua teua za bongo njoo tulime matikiti huku muraaa heka moja unapata milioni 20 ukilima heka 5 zidisha hapo na ni kwa miezi 3 tu
 
Huyo mwamba katenguliwa kabla hajaapiswa, tena ndani ya siku mbili tu. Mwaka huu tutaona Mengi 😀 😀 😀
 
wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…