kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
wazungu unawategemea wampe Arvs Baba ako tengeneza zako sasa za kutumia bangiUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, huna uweze wa kufikiri nje ya hayo uliofundishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wazungu unawategemea wampe Arvs Baba ako tengeneza zako sasa za kutumia bangiUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, huna uweze wa kufikiri nje ya hayo uliofundishwa
Hapa ndipo mnapoboa kulia lia.....!!!Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Ndio mnavyoaminishwa na Lissu kwamba mkikumbatia wazungu , mkaozeshwa, mtaishi kwa raha sana au sio?wazungu unawategemea wampe Arvs Baba ako tengeneza zako sasa za kutumia bangi
Unawapinga wazungu uku hata condoms mpka wakutengenezee kenge kabisa weweNdio mnavyoaminishwa na Lissu kwamba mkikumbatia wazungu , mkaozeshwa, mtaishi kwa raha sana au sio?
Hiki siyo kipindi cha salamu, Bwashee! Salamu ni wakati wa kupewa jogoo wa laki, sasa hivi na kampeni!Ni jambo jema.
Angepita bila kusalimia mngesema kamuogopa Tundu Lisu!
Kwani mnamuogopa?Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Unnecessary provocation.Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
JPM anahatarisha amani ya wanakigomaUnnecessary provocation.
Kati ya mambo ambayo yamekikwamisha Chadema ni pamoja na kuwa na propaganda mfu kama hizi. Chama chetu kina watu wahuni wanachokichafua. Wewe unao uthibitisho wa hii habari ya kipuuzi?Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Huo ni uzwazwa, ccm wote mmeambukizwa kuvunja taratibu na sheria.Kumbuka Magufuli bado ndio rais wa nchi hii, yaani aache kutekeleza mipango ya maendeleo kwa sababu kuna mmoja anayedhani anaweza kuwa rais wa nchi anaongea matusi yake! Hell no!! lazima maisha yaendelee.
KwishneeeyAlikuwa njiani, watu walimfuata kwa mahaba yao. Huyo ni RAIS remember hata kama kwa sasa ana cheo kingine cha mgombea.
Tume warudisheni wagombewote kama hamuondoi magu hatayeye mbona anakosea sana mnataka itokee nini nyiewatu nchiyetu tunaipendaWakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Inaonekana baaada ya Magufuli kusimama watu wote wakamkimbia Lissu akabaki mweupe .Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.
Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.
Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?
Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?
Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?
Nini dhamira yake?
Kwani Lisu amekosa watu huko Kazuramimba?
Na wewe ni miongoni mwa wale vimada wa jiwe wa JF au?