Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

Una hoja nzuri. Lakini kwa namna nyingine, tujitafakari, nani aliyesababisha tuingiliwe?

Unachotakiwa kufahamu ni kuwa kama unafukuzwa na jambazi mwenye jambia ili uawe, mbele ukakutana na jamaa anayelaumiwa kwa ubabe, ana bunduki, akakuuliza unakimbia nini, nawe ukamwambia kuna jambazi ana jambia anataka kuniua. Yule mbabe akasema kaa hapa pembeni yangu, huyo jambazi nitapambana naye mimi, kwa mazingira hayo, utamwonaje yule mbabe? Utamwona kama mkombozi, mkorofi, mwonezi au mdhulumaji?
 
Hoja za marais wa Marekani atazijibu nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huoni hadi Jiwe kamtuma Kabudi huko
Malikani kujieleza!So relax,hata Rais wako anajua Malikani ni nani!
 
Vizuri unavyojifariji,inakubalika kitaalam ili kupunguza uwezekano wa kufa ghafla endelea kuwaza tu magufuli hachomoki
Amejiandaa kisaikolojia amehamishia mali rwanda!wewe kidampa utakimbilia wapi ? Kabla hatujaila hiyo tigo !
 

Hii Serikali na CCM ya Magufuli ni malimbukeni wa madaraka!
Ni kichekesho kudai kuwa Mmarekani ATI Hana rekodi ya Haki za binadamu ilhali Serikali hii inapokea misaada ya kuhudumia wagonjwa wa UKIMWI kupitia TACAIDS....! Serikali hii inapokea misaada ya kifedha kwenye Elimu,Afya,Utawala Bora,UCHAGUZI Mkuu n.k. kupitia USAID....!
Misaada yote hiyo ni kwa ajili ya HAKI ZA BINADAMU.....! Sasa inakuwaje Marekani akihoji kuhusu Serikali ya CCM kubaka DEMOKRASIA kwa kuwaonea na kuwagandamiza CHADEMA na vyama vingine va Siasa??!!
 
Ukiwekewa vikwazo ndo akili zitakaa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chochote kilicho nyuma ya pazia watanzania walio wengi wamekubali aje alitoe jiwe.
Wewe marekani ni nani kwako... Wewe anaweza jibu hoja zako... Katiba yetu inamtambua mtu anaitwa mmarekani hadi rais wetu ajibu hoja... Au unafikiri marekani ana urafiki na wewe.? Ungejua ya nyuma ya pazia ya marekani wala usingeongea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mara mia kuwa brainwashed na marekani kuliko kuwa brainwashed na ccm, jiangalie alafu toa comments
We la Marekani hulioni unaona la Tanzania tu?
Hivi kwenye haki za binadamu unaweza kumquote Marekani kweli?
Mmekuwa brainwashed utafikiri hamjasoma?
Mnatia kichefuchefu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangaa sana kwa hoja zilizotolewa...
Musiba alitangaza watu anaodhani wanatakiwa kuuwawa, lakini hakuna hata mmoja aliyesikika kuchukua hatua, ILA ALIPOSEMA TU KUWA NA YEYE AMETISHIWA KUUWAWA, polisi walimwita... SAS KWENYE HILI SIJUI MAREKENI WASEME NINI..
 
Hapo nimekupata kiongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…