Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma

Watanzania kweli hamnazo, kweli kipindi cha tention ya Corona km hiki mkuu anapiga picha kama hizi then tunashabikia "eti good my president" Ndiyo maana wakenya wanasema anaogonza mang'ombe!
 
Unataka Rais Akae Alie Akae Ndani Aoneshe Hudhuni Inasaidia Nn

Sometimes we need Happy kupunguza Hofu Kwa Watu Rais Nae Ni Binadamu Anamaisha yake Baada Ya Ofisi

Msilete uchama Kila Sehemu
Watanzania kweli hamnazo, kweli kipindi cha tention ya Corona km hiki mkuu anapiga picha kama hizi then tunashabikia "eti good my president" Ndiyo maana wakenya wanasema anaogonza mang'ombe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anachapa Kazi Bila Hofu Ya Corona Virus Diseases 19
😁😂😄😃😅
 
Vacation na na hizi picha ni vitu viwili tofauti kabisa. Watanzania tumekuwa watu wa kulalamika tu. Kwa mfano ile hotuba yake ya jana ilikuwa nzuri lakini kuna watu wameamua kuitafsiri vibaya ili watimize malengo yao. Anyway, internet imefanya kila mtu kujiona ana akili ya kukosoa
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Anachapa Kazi Bila Hofu Ya Corona Virus Diseases 19
😁😂😄😃😅
Of course. Wewe ulitaka akaache kufanya kazi kwa sababu kuna corona? Huu ni wakati wa kufanya kazi zaidi huku tukizingatia tahadhari
 
Nimeamini Msemo Wa :Sifa Za Masikini Ni Roho Mbaya na Chuki

Mm simkubali Magu Lkn Kwahili Sioni Kama Anatatizo Sababu Nae Ni Binadamu lkn pia Anamaisha Yake

Tuna Hudhuni Na Taazari Sana Lkn Sio Sababu Ya Kuto Furahi Maana Kufa Kupo Kuumwa Kupo Hata Corona Ingekuwa Haipo

Jeshini Watu Huwa vitani Lkn Sometimes huwa Wana jiburudisha Kwa Music Story and Kidding Kama zote

Kwani wao Hawana hofu Yakifo ?

Lkn wanajiliwaza Maana hata wakinuna haisaidii kurudisha Uhai au kuzuia Kifo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu mzee mda mwingine ni yeye mwenyewe ndio huwa anawapa sababu watu kama akina kigogo2014 wawe wanamfanyia bullying kule twitter.

hizi picha hazikufaa kutundikwa kwenye mitandao kipindi hiki ambacho dunia nzima ipo katika taharuki ya COVID-19.

wapambe wake mkukumbusheni kuwa yeye ni mkuu wa nchi na sio celebrity.aache vituko. anachofanya kilistahiri kufanywa na kina steve nyerere.

angesubiri azipost wakati ambao hili janga la corona lingekuwa limeshaisha. sitoshangaa wakosoaji wake wakiitumia hiyo picha aliyolala kwenye jiwe kama meme.
 
Duh

Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…