Sawa mkuu umeeleweka kuwa mzee wa watu kapiga zake raba na suruali ya suti amekaa anapunga upepo anatafakari mambo yake ya kazi na mengineyo.Nimeamini Msemo Wa :Sifa Za Masikini Ni Roho Mbaya na Chuki
Mm simkubali Magu Lkn Kwahili Sioni Kama Anatatizo Sababu Nae Ni Binadamu lkn pia Anamaisha Yake
Tuna Hudhuni Na Taazari Sana Lkn Sio Sababu Ya Kuto Furahi Maana Kufa Kupo Kuumwa Kupo Hata Corona Ingekuwa Haipo
Jeshini Watu Huwa vitani Lkn Sometimes huwa Wana jiburudisha Kwa Music Story and Kidding Kama zote
Kwani wao Hawana hofu Yakifo ?
Lkn wanajiliwaza Maana hata wakinuna haisaidii kurudisha Uhai au kuzuia Kifo
Sent using Jamii Forums mobile app
wazee wa kesi za jinai wako tena kisutu maisha bila kutafuta kesi hayaendi kwa upande wao.Nasikia kule kwa wazee wa kubadilisha gia angani kuna jamaa furani anaitwa memba sijui mamba ala membe ndo atapambana na hiki kisiki cha mpingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye leo nimefanikiwa kuiona Karantini, kumbe ndo Ina mijiwe hivi.Mzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kama mwawapenda sana ni bora mkae kimya, mkitumia kama strategy ya kampeni mtajuta, mkumbuke ni MSEMA KWELI, hata kale kaheshima alowatunzia kataisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
yote maisha chuma hicho kiboko yao, oktoba tunamchagua tena kwa miaka mingine mitano.Sawa mkuu umeeleweka kuwa mzee wa watu kapiga zake raba na suruali ya suti amekaa anapunga upepo anatafakari mambo yake ya kazi na mengineyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka hata katiba ya JMT wa Tanzania inamtambua kama raia namba moja. Kwa hiyo usidhanie ni mtu mdogo. Chochote atachofanya ni habari. Na ni utaratibu kwa nchi zote.Urais kweli mtamu yaani mtu akiwa rais kila atakachokifanya ni habari hata akila mavi ni habari.
Ila sometime unatakiwa ku refresh mind.
Uku Corona uku Chadema usipokuwa makini presha inakuchukua. yuko xawa wacha a-relax uko kuna usalama wa kutosha.
hahaha
ndugu, Marekani wanaongea kiingreza ujue!picha yangu ya wiki ni hiii inayomwonesha Rais wa Tanzania akinyoosha kiuno juu ya Jiwe liliro ndani ya Ikulu ya chamwino hakika ongera
ila nakukumbusha wapo waliokuwa wanaenda kunyosha kiuno NAREKANI KWENY BEMBEA TU.
View attachment 1397294
Sent using Jamii Forums mobile app
KumbeMzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie aache kabisa chuki,na akubali matokeo.Punguza chuki!
Jitahidi kila siku utembee na akili zako, umwombe mama yoyo kama unakuwa msahaulifu Sana angalau awe anakukumbusha kila Asubuhi ukiamka, ili usizisahsu nyumbani,Huyu mzee bnaa yaani nimecheka kwa sauti kumbe aliye lala pale ni yeye, anazeeka vibaya sana. Alale tuu huko ila Mike Pompeo anaandaa Mashitaka yake atalala sana huko lupango na Bashite wake.
Asanteni watu wa America.
IN GOD WE TRUST
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ayawazayo ndiyo yanayomzunguka. Uliyoyaeleza yote yanakuhusu wewe . Ukipinga namwaga ukweli hapa hapa .Mpaka muachane na ush.oga na msinune kunyimwa vilainishi, mkasome muachane na vyeti feki, fanyeni biashara msikwepe kodi, zoeeni kwamba serikalini mtaendelea kupasikia tu...kinyume na hayo mawazo hayatawaisha na KORONA ikiingia lazima ianze na nyinyi maana mawazo yeshatingisha kinga zenu za mwili na ndo maana mko na hofu ya hatari na huu upepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio niliowalenga mkuu
wazeeMzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app