Bavarian8
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 656
- 1,447
Saa zingine muwe mnaelewa ,zpo mamlaka za kumshuhulikia huyo mtumishi na sivyo like Rais alivyofanya mkuu elewa Hakuna mtu anyetetea ujinga ule ila zpo hatua za kuchukuliwa na siyo Rais kufanya alivyofanya,acheni kuleta hisia za kidini ,
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo Ulitaka wakae kimya tu....nchi iingie kwenye machafuko kwaajili ya ujinga wa mtu 1
Sent using Jamii Forums mobile app