Rais Magufuli anahoji; Je, ninyi hamuamini kuwa yupo Mungu?

una
Kutoka kupiga ngoma za asili mpaka kuhubiri dini.
The stone sio wa mchezo mchezo, asili yake hubadilika kulingana na hitaji la wakati husika.
Kesho mshuwa wake itakuwa alikuwa daktari katika kuhalalisha jambo jengine.
una pepo la kutokuamini
 
Unapokua unaandika Mungu andika kwa herufi kubwa!
Unamlazimisha, anakijua anachokiandika sivyo unavyofikiri wewe.
 

Mbona viongozi hawa wana misafara na mabodigadi wa jeshi. Kama wanalidwa na Mungu walinzi wa nini??!!! Au wanaogopa binadamu kuliko Mungu?
 
Tatizo sio Mungu hayupo ila tunaomba atangaze hadharani kua C19 ipo ili tahadhari zianze kuchukuliwa.

😷 😷😷😷😷😷😷😷
Una maanisha ni ktk hili!? Atangaze vipi ili uelewe kuwa alishatangaza hadharani? Hicho kichwa chako i see!?
 
Kama jiwe angekua anaamini mungu kwa nini anatumia dawa za kuishi kwa. Matumaini ARV?
 
Mbayuwayu [emoji885] katika kufikisha ujumbe wa kuhami mbawa zake ... !!!

"... zakuambiwa changanya na zako kwa vitendo ..."
 
BAVICHA HILI KWAO CHUNGU.HAPO WALIPO WANATAMANI MODS WAUFUTE HUU UZIII. KATIKA RAIS AMBAE ATAKUMBUKWA KWA KUWA NA MAONO AMBAYO ILI UYAELEWE UNATAKIWA UWE NA THE WISDOM ABOVE NORMAL ni huyu jpm.I salute you!!!!
Jiwe kama anaamini mungu kwa nini anatumia ARV & ART
 
Kwa sababu wapinzani walisema c19 ipo wasingesema ingeimbwa mpaka dunia ingechoka kusikiliza
 
Corona si tatizo la kumwita Mungu, ni tatizo la kupambana nalo kwa maarifa aliyotupa Mungu.
Mbona wewe unapingana na huyo mungu wako unayewaitia wengine wasiokubaliana nanyi kuwa ni 'idiots'? Kuna u'idiot' kushinda huu wako?
 
Mkuu, ni kweli lugha ya staha ni muhimi. Labda hasira zinawapelekea watu waandike kwa ghadhabu ... nimeona Zimbabwe watu wakishangilia kusikia Mawaziri wamekufa.

Anyway, point yangu ni kuwa Serikali kusema tu kuwa watu wachukue tahadhari bila ya wao kufanya kitu au kutoa maelekezo ya kutosha ni kosa kubwa. Kwanza ilitakiwa viongozi wao wawe mfano kwa kuvaa barakoa na social distancing kwenye hadhara ... kitu ambacho hawafanyi.

Pia kuna mambo mengine kama ya kuvaa barakoa kwenye public au kupunguza misongamano kwenye vyombo vya usafiri, kuweka sanitizers nk hivyo haviwezi kufanyika sawaswa bila maelekezo ya serikali. Kwa mfano misiba kama hii ambayo kila mtu anajua chanzo lakini tunaona hakuna tahadhari yeyote inayochukuliwa na viongozi wenyewe. Mambo yamefanywa just normal as usual!! Hii haitatusaidia.
 
..eti Leo jiwe anamjua Mungu kuliko Roma wanakovaa barakoa kuanzia Papa kwenyewe..
 
If you show stupidity in Tanzania you are identified as a PATRIOT, but if you are enlightened, you are a security risk!!
.. exactly...and this brings more curse and regression to this country...just because of one evil mind....God forbid..
 
Pia kuna mambo mengine kama ya kuvaa barakoa kwenye public au kupunguza misongamano kwenye vyombo vya usafiri, kuweka sanitizers nk hivyo haviwezi kufanyika sawaswa bila maelekezo ya serikali
Wakati tulipoingiliwa na huu ugonjwa kwa mara ya kwanza mwaka jana maafisa afya walikuwa wanatembelea sehemu za biashara kuhakikisha kuna maji ya kunawa na sabuni. Hivyo hivyo ilikuwa kwenye vyombo vya udafiri na mahali pengine penye mikusanyiko ya watu. Sasa hivi hatuoni hayo. Imefika mahali hata kutamka tu covid 19 ni kosa. Haki ya kutoa tahadhari imehodhiwa na baadhi ya viongozi. Viongozi wengine wakifanya hivyo wanapata misukosuko. Hii si sawa
 
Wamekuambia kuwa hawaelewi kinachoendelea duniani?
Acha unafiki

Kama wewe unaelewa sio wote wataaoelewa

Hebu fikiria kama huduma ndogondogo za kijamii zinapatikana kwa shida vipi kuhusu vingine
 
Hapa ndo usemi wa JK unapo apply, za kuambiwa changanya na zako....shetani alitaka kumwingiza Yesu kingi..
 
Umesahau uporaji wa demokrasia uliofanyika uchaguzi mkuu 2020
Asante kwa kuongeza na hilo la uchaguzi. Aache kumdhihaki Mungu, hasira yake itateremka Kama ilivyoyeremka kwa Nebukadnezzar au Farao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…