Rais Magufuli awateua Humphrey Polepole na Bi. Riziki Said Lulida kuwa wabunge wa Tanzania

Wanakula cake bila furaha.Sitaki aina hiyo ya maisha.
 
Riziki Lulida Naibu atateuliwa kuwa Naibu Waziri ofisi ya Rais Kazi ,Sera uratibu na bunge anae shughulikia Watu wenye ulemavu
 
Hapo chura kapigwa teke!
Sasa Polepole aione siasa live.
 
Nilitegema hii nafasi atapewa Hamisi Mwinjuma, Mwana FA. Kwakuwa kama kusoma kasoma, na alikuwa kwenye mfumo huo huko Basata na ni msanii pia

Kwenye hiyo Wizara muziki ni sehemu tu, kuna mengi zaidi, kuwa mwanamuziki siyo kila kitu, ...
 
Kwenye hiyo Wizara muziki ni sehemu tu, kuna mengi zaidi, kuwa mwanamuziki siyo kila kitu, ...
Lakini kasoma kama Juliana Shonza aliweza kuwa naibu mwana FA uwaziri atauweza
 
Wameanza kugawana madaraka Kama njugu.
Wale waliomkaribisha lisu kwao wakamruhusu alale wasahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…