Ni mpumbavu pekee ndio atahoji kwa ubaya maamuzi ya Rais kuchangisha mchango wa ujenzi wa msikiti kanisani
sio kwamba waslamu au Rais hawana hera za kujenga msikiti ila JPM alitaka kuonesha jinsi watanzania tulivyo wamoja hatuna udini wala ukabila
kwa lugha nyingine ni salaam kwa mabeberu
Huujui uislam na sheria zake ungefunga bakuli lako tu.Acheni kuingiza siasa kwenye dini.Rais kawakosea sana waislam. Na niwaislam wapumbavu na wafia njaa ndio watakao kubali kuzipokea hizo pesa zilizochangwa kanisani.
Ni Rais wa watu wote dini zoteHasa katika kipindi hiki cha uchaguzi anahitaji kura za watu wa imani zote.
Katumwa una jingine? Walikuwa na hiyari kutoa au kuachaNdugu zangu , Amani iwe juu yenu pamekuwepo na madai na majitapo mengi kutoka kwa baadhi ya political laymen tangu jana baada ya baba mwenye nyumba kutembeza bakuli kanisani kuomba fedhwa za kujenga msikiti,
Hapo nina maswali mawili matatu.
Moja, Baba mwenye nyumba alitumwa na masheikh kuwaombea michango kanisani, bila shaka mamlaka za waislamu zitatujulisha.
Pili, Je ni upendo wa baba mwenye nyumba kwa wapangaji wake kutaka kuonesha religious equilibrium katika kipindi hiki cha kutafuta political pasture?, sina hakika sana kama iko hivyo.
Tatu, Ni uumini na uchamungu wa kiwango cha juu cha baba mwenye nyumba?, nadhani hili ni jibu sahihi.
Nne, Ni ipi hukumu ya kisheria katika dini ya uislamu kujenga msikiti kwa fedhwa ambazo yakinani zimetokea kanisani bila wasiwasi wowote?
Hapo maulama watatusaidia
Tano, Je hili halina athari yoyote kisiasa khasa wakati huu wa uchaguzi?
Sita, Ni lini msikt wa mfalme wa Moroko utazinduliwa nao waislamu wachangie kanisa?
Ziko advantages and diadvateges katika hili tukio. Pengine alivutwa na uzuri wa kanisa akatamani na msikiti uwe hivyo lakini haiondoi question mark why! Na hii ndio sababu watu wanasema hili na lile vinginevyo wangekaa kimya.Pesa ya kitimoto kujenga masjid
Uslamu ni USAFI na USTAARABU na KUSAIDIANA
nakushauri endeleza kupinga mpaka mwisho wa dunia
Umoja wa kulazimisha mkuu?Ni mpumbavu pekee ndio atahoji kwa ubaya maamuzi ya Rais kuchangisha mchango wa ujenzi wa msikiti kanisani
sio kwamba waslamu au Rais hawana hera za kujenga msikiti ila JPM alitaka kuonesha jinsi watanzania tulivyo wamoja hatuna udini wala ukabila
kwa lugha nyingine ni salaam kwa mabeberu
iko siku mtahoji aandaae futari kama nani?Alomshauri sidhani kma alipatia
alilazimishwa nani kuchangia?Umoja wa kulazimisha mkuu?
Duh? unaturudisha wapi bwasheeAnawashurutisha Wakiristo kufanya ibada zisizo zao!
Wakiristo walikataa Mahakama ya kadhi kwa hoja kuwa kodi zao zisitumike kwenye ibada ya wengine, sasa leo Magufuli anakwenda kanisani kuwachangisha ili ijengwe nyumba ya kuabudia isiyo ya ibada yao!
Kama Magufuli ni Mkiristo mwenye kuwapenda waislamu na ibada yao basi awape mahakama ya kadhi kwanza!
Hakuna laana mbaya kama ya ubaguzi. Tangu lini sisi wakristo tukawakataa waumini wa kislam wasitumie miundombinu yetu? hospital na mashule?. Watanzania ni ndugu kitendo cha mh. JPM ninakipongeza na kinatakiwa kuigwa kwa viongozi wengine. Mungu ibariki TanzaniaNdugu zangu , Amani iwe juu yenu pamekuwepo na madai na majitapo mengi kutoka kwa baadhi ya political laymen tangu jana baada ya baba mwenye nyumba kutembeza bakuli kanisani kuomba fedhwa za kujenga msikiti,
Hapo nina maswali mawili matatu.
Moja, Baba mwenye nyumba alitumwa na masheikh kuwaombea michango kanisani, bila shaka mamlaka za waislamu zitatujulisha.
Pili, Je ni upendo wa baba mwenye nyumba kwa wapangaji wake kutaka kuonesha religious equilibrium katika kipindi hiki cha kutafuta political pasture?, sina hakika sana kama iko hivyo.
Tatu, Ni uumini na uchamungu wa kiwango cha juu cha baba mwenye nyumba?, nadhani hili ni jibu sahihi.
Nne, Ni ipi hukumu ya kisheria katika dini ya uislamu kujenga msikiti kwa fedhwa ambazo yakinani zimetokea kanisani bila wasiwasi wowote?
Hapo maulama watatusaidia
Tano, Je hili halina athari yoyote kisiasa khasa wakati huu wa uchaguzi?
Sita, Ni lini msikt wa mfalme wa Moroko utazinduliwa nao waislamu wachangie kanisa?