Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Yule ni Sheikh wa "kazi maalum" , walikuwepo watu wa aina yake toka zamani, kwa lugha ya waislam huwa wanaitwa wanafiki
Sasa ndiyo tutaona umuhimu wa watu kama marehemu Hassan Ilunga
(Allah amrehemu).
katika uislamu,hawa viongozi wa kibakwata wanatuaibisha Sana Sisi waislamu
 
Nyerere alichangisha kanisani?
 
Kumbe wale maustaadhi wanaoombaga michango mbalimbali wanakosea kuomba kwa wakristo?!


Mfano tuwapo safarini kwenye mabasi, pale mkata Handeni kuna jamaa anaombaga mchango ya ujenzi wa msikiti sijui madrasa n.k

Leo umesaidia wengi aisee hawatakua wanachangia maswala yahusuyo dini ya kiislam.

Any Islamic related contributions,

Nazani na michango ya vituo vya watoto yatima wenye mlengo wa dini ya kiislam itabidi kuacha kuchangia maana kumbe mnakwazika!


Aisee hii siyo nongwa kweli jamani ?!


Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi!
 
Ingelikuwa Magufuli hiyo tabia ya kuingia kanisani kaanza miezi miwili nyuma sawa. Lakini ana historia ya kwenda kanisani tangia utoto ndio maana kila alipoishi anawajua mapadre waliokuwa wakimsalisha.

Magufuli yeye mwenyewe anadai ilikuwa awe padre sema kanzu aikumtosha.

Ushiriki wa dini na Magufuli ni kwa sababu he is somewhat genuinely religious (but not pious) ushahidi huo upo tangia siku za mwanzo anaingia kwenye public eyes, ata jambo serious kama Corona yeye alitaka twende na Mungu badala ya sayansi inaonyesha ni namna gani alivyokuwa mtu mwenye imani kali isiyo na mashaka kwa mungu.

Kuomba harambee ya msikiti ndani kanisa inaweza kuwa ni self guilt tu kama raisi baada ya kuona kuna kanisa limepatikana kwa sababu ya harambee aliyoanzisha yeye.

Ni katika kujistukia tu baada kupewa habari kuna msikiti na wenyewe Chamwino unahitaji kuboreshwa. As a guesture of being neutral kama kiongozi wa nchi yenye watu wa dini zote ndio motive ya kuitisha harambee.

The whole thing is petty labda useme lime coincide na kipindi cha kutafuta support za watanzania na CDM kwa sababu hawana sera ndio wameamua kulikuza bila ya kufahamu kwa kufanya ivyo wanamjengea mileage Magufuli kila mtu kaona harambee was done innocently, with good intentions and nothing else.
 
Watu wa kitabu??? Hahahahaahahahahaha

Ahlul kitaab ni watu wa zaburi (ya kweli), injili (ya kweli) na tauraat (ya kweli).

Sio watu wa biblia mkuu hahahahaahahahhah
🙂🙂🙂
Maalim, niweke sawa hapa, ninachojua nikuwa Biblia imejumuisha zaburi, injili na tauraat za kweli. Sasa kunaubaya wowote watu wa biblia kuitwa watu wa "Ahlul kitaab"!?
 
Ibada Ya Kiislam inaweza kufanyika popote alimradi YAFUATWE masharti ya swala!!
 
Ili kuli-adress inabidi hizo issues ambazo zinaonesha chuki ziwe outlined.
Sasa hizo issues zinazoonesha chuki ni zipi?
 
Ni malaya tu anae weza kuhoji hoji na kupinga pinga kila jambo wakati moyoni anapenda kwa dhati kabisa.

Enyi wanasiasa uchwara acheni tabia ya umalaya malaya.
 
Ni maswali muhimu na rais anahitaji kuongozwa sana, kama anaambilika. Yeye ni mwanasiasa na siyo vizuri kusaka umaarufu kupitia dini. Kama kweli ni mutafuta haki angewachangia ACT, CHADEMA, CUF TLP, nk. kwa wanachama wa CCM! Hii hadithi ya kusimama kanisqani na kujidai eti wakristu wana upendo wa kuwasaidia waislamu, ni uzembe wa kiwango fulani.
 
Jaribu kujenga picha unaumwa hospitali na unahitaji kuongezewa damu, kisha anayetaka kujitolea damu ni jamaa fulani Mgalatia mla mbuzi katoliki!? Ila honestly anachofanya Rais hakikubaliki hata kidogo. Madaraja , mandege na matakataka mengine aliyonunua asiwe na wasiwasi yatampigia kura.
 
Mtu yoyote mwenye ukaribu na bashite lazima akili zai zifanane.
Muangalie lemutuz,steve nyerere,jerry muro etc..
Akili zao ndo hizi hizi
 
Jaribu kujenga picha unaumwa hospitali na unahitaji kuongezewa damu, kisha anayetaka kujitolea damu ni jamaa fulani Mgalatia mla mbuzi katoliki!?

Ila honestly anachofanya Rais hakikubaliki hata kidogo. Madaraja , mandege na matakataka mengine aliyonunua asiwe na wasiwasi yatampigia kura.
 
Mwache kuleta fitina na chuki za kidini. Mheshimiwa Rais hakuwa na kosa lolote la kuchangisha pale kanisani
Katumwa na nani? Kama ana upendo na ni mwanasiasa, kwa nini hajaongoza wana CCM kuwachangia TLP, nk.?
 
Mkuu unamaliza kila kitu.

Unaongea kiasi ya kwamba hakuna la kuongezea.

Kama wanataka na wasome, waelewe na wafanyie kazi uandikayo

Salute!
 
Mwana Sacco's yeyote Ni mzao wa Lucifer



MUNGU mbariki magufuli
Ccm saaizi ni mali ya mtu binafsi..... Kila kitu kinaratibiwa kutoka Jamhuri ya watu wa chato na watoto wa dada ndo wanaamua nani awe nani...... Unayoyaona ni maigizo tu...
 
Tuliza mshono wewe bwege!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…