Uchaguzi 2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

Ndio wajue Magu hafai kabisa!!

Wacha wavurugane, ila usishangae wakaja kuikana hii taarifa wakiona inawaletea hatari huko mbele ingawa utekelezwaji utafanywa kama ulivyopangwa hata wakilalamika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akina bia yangu na mgonjwa mtambuka huwez kuwaona humu maana hii kwao ni maumivu mnoo
 
Mleta mada kafafanua kaongezea nyama na kaeleweka na nimemwelewa wewe kaa na wehu wako
Wanaccm mna kiwango Cha Hali ya juu ya kuvumilia upuuzi wa mwenyekiti wenu,

Piga makofi shangilia upuuzi alioongea mwenyekiti
 
Binafsi sioni kosa as far as na wao ni watanzania. Kuwepo vyama vya upinzani haukuwafanyi wao kutopewa kipaumbele pindi wanaporudi CCM.
 
Ccm ni saccos binafsi na mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi, wasugua bench asilia wakafie mbele,teuzi zote ni za waunga juhudi,watakaokosa ubunge watateuliwa,ni mwendo wa ccm ya ndio ukiwa mtu wa ndio utazikimbia pesa zitakufata Hadi uvunguni, mwafrika ni dhaifu Sana mbele ya pesa maadamu anashibishwa huwa hajali kuhusu utaifa kwake tumbo kwanza.Hawa ma ndio,ndio wanaokwenda kubadili katiba ili washibishwe milele huku Jamii nzima ya wengi wakiteseka.
 
Hii ni fake kama https://www.facebook.com/
View attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
 
Wanachama wenyeji wa CCM mpoooooh? Sauti inatosha au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo wakina Waitara,Mtolea,Mwembe,Lijuakali n.k wanaserereka kama mlima kitonga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi mbavu zinauma kwa kweli lol, wanamiminika kuelekea kolongoni khaaaaaah
 
Magufuli hajajibu swali. Amekwepa swali.

Kwa sababu, hakutakiwa kulisukuma hilo swali vikao vya chini wakati hata yeye kapokea wapinzani na kuwapa vyeo vikubwa vya ukatibu muu na unaibu waziri wizarani.

Hakujibu swali.

Kalikwepa tu.

Ww ndio umeona ukweli. Huu ni udhaifu wa wazi wa Magufuli pale anapopswa kujibu swali la uvunjwaji wa kanuni, sheria na katiba. Huwa anatoa majibu ya kebehi yasiyokidhi swali husika. Hii ndio sababu wanaccm wote na Magufuli mwenyewe hawako tayari kushiriki mdahalo wowote, na Magufuli binafsi kutokupenda kuhojiwa na waandishi wa habari.
 
Binafsi sioni kosa as far as na wao ni watanzania. Kuwepo vyama vya upinzani haukuwafanyi wao kutopewa kipaumbele pindi wanaporudi CCM.
Umeongea kama Mimi mkuu, sjiu kama upojirani na soft drinks, agizia soda na pepkon bili nitumie mkuu

Tanzania ni ya wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…