kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akina bia yangu na mgonjwa mtambuka huwez kuwaona humu maana hii kwao ni maumivu mnooNdio wajue Magu hafai kabisa!!
Wacha wavurugane, ila usishangae wakaja kuikana hii taarifa wakiona inawaletea hatari huko mbele ingawa utekelezwaji utafanywa kama ulivyopangwa hata wakilalamika.
Wanaccm mna kiwango Cha Hali ya juu ya kuvumilia upuuzi wa mwenyekiti wenu,Mleta mada kafafanua kaongezea nyama na kaeleweka na nimemwelewa wewe kaa na wehu wako
Sina njaa nimezaliwa ndani ya mfumo mpaka sasa napiga hela za ndani ya mfumo.na wazazi wangu wakistaafu wanalipwa hela za ndani tena mapema sana.Ndiyo , alaf ninyi viherehere mtaendelea kubwabwaja tu
Huu ni unyanyasaji kbs. Kuna siku watu watauana sana katika chama hikiCCM sasa mtakumbuka maneno ya Lissu kwa vitendo.
Moderator habari kama hii kweli mnaunganisha?Hii ni issue kubwa sana na mlitakiwa mjiridhishe na kama ni ya kweli, basi mngeacha hii mada ijitegemee au mngeiondoa kwa muda wakati mnatafuta ukweli wake.View attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Hapo kuna shida kubwaKama ni kweli basi hii ni taarifa njema kwa Wapinzani wao. Mara nyingi Ccm imekuwa ikipoteza Majimbo mengi hasa yale ya Mjini kutokana na aina hii ya migawanyiko baina yao.
Hii ni fake kama https://www.facebook.com/Rais Magufuli akijibu swali la Sojo, MNEC kutoka Songwe aliyesema kwamba ametumwa na wanasongwe kuwasemea kuwa wanasononeka pale ambapo wapinzani wanapohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kuwaacha wanachama ambao walikipigania chama kufa na kupona 2010-2015, wanavunjika moyo wanapoona wageni wanapita bila mbadala.
Pia soma > Rais Magufuli: Cecil Mwambe moyo wake uko CCM, Chama kilifanya makosa makubwa kumfanyia figisu 2015
Rais Magufuli amesema hilo lilipaswa kuzungumziwa kwenye kamati ya vikao vya CCM Wilaya au Mkoa kwamba wanaokuja kule huwahitaji. Lakini chama hiki ni cha watu, kina misingi yake, kinameza watu wote. Suala hilo lizungumziwe kwenye kamati za wilaya na mikoa na mlitafutie ufumbuzi.
Rais ameongeza kuwa CCM ina watu wengi ambao walikuwa vyama vingine kama Makongoro Nyerere na Mzee Wassira ambao walikuwa NCCR Mageuzi lakini sasa hivi ni CCM damu damu. Amewataka wanaccm kuwa na mioyo ya kuvumiliana ya kumtanguliza Mungu.
Amesema labda wana wasiwasi huyu aliyekuja huenda akawashinda na ndiyo maana amekuwa aliwashinda kila mara, otherwise mngekuwa mnamshinda, sasa kwa sababu anawatandika na mlikuwa mmejiandaa na akipigiwa kura za maoni atachaguliwa na wananchi.
Rais Magufuli ameendelea kusema kuwa Tatizo moja la siasa zetu tunajiwekea vizingiti kwamba akija huyu atashinda lakini mkiachiwa ninyi hamshindi. Nafikiri meseji umenipata.
Lakini Chama hiki kinapokea watu wote ilimradi wanazingatia masharti ya chama. Sasa mkiingia kwenye grupu zenu za kuanza kubishana mbona amerudishwa huyu! Amerudishwa kwa misingi kwamba mlimzuia njia akapitia dirishani, amerudi sasa apitie mlangoni mnataka tena mumzuie!! Muwe na uvumilivu. Ningependa huyo aliyeingia aendelee kushinda ili siku moja aingie kuwa mjumbe wa NEC.
Kwani mwanamke au mme wako akikosea, siku nyingine akaja kukuomba msamaha kwani utakataa? Siyo ajabu akaja na mapenzi mazuri mazuri kuliko ya zamani amejifunza huko mbinu nyingi na mbadala, Sasa unakataa uhondo huo? Rais amemaliza kwa kusema CCM oyeee
View attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
KabisaaaCCM sasa mtakumbuka maneno ya Lissu kwa vitendo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi mbavu zinauma kwa kweli lol, wanamiminika kuelekea kolongoni khaaaaaahKwahiyo wakina Waitara,Mtolea,Mwembe,Lijuakali n.k wanaserereka kama mlima kitonga.
Aisee mataga wananyooshwaView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Hii kali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Magufuli hajajibu swali. Amekwepa swali.
Kwa sababu, hakutakiwa kulisukuma hilo swali vikao vya chini wakati hata yeye kapokea wapinzani na kuwapa vyeo vikubwa vya ukatibu muu na unaibu waziri wizarani.
Hakujibu swali.
Kalikwepa tu.
Umeongea kama Mimi mkuu, sjiu kama upojirani na soft drinks, agizia soda na pepkon bili nitumie mkuuBinafsi sioni kosa as far as na wao ni watanzania. Kuwepo vyama vya upinzani haukuwafanyi wao kutopewa kipaumbele pindi wanaporudi CCM.