kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akina bia yangu na mgonjwa mtambuka huwez kuwaona humu maana hii kwao ni maumivu mnooNdio wajue Magu hafai kabisa!!
Wacha wavurugane, ila usishangae wakaja kuikana hii taarifa wakiona inawaletea hatari huko mbele ingawa utekelezwaji utafanywa kama ulivyopangwa hata wakilalamika.