Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Mkoloni yupi Sasa mweupe au mweusiHatutaki Rais wa kujaribisha uongozi tunataka Rais asie wanyenyekea wakoloni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoloni yupi Sasa mweupe au mweusiHatutaki Rais wa kujaribisha uongozi tunataka Rais asie wanyenyekea wakoloni
Unaongelea jamii hii ya Watanzania kaka?Tume ni sawa na udongo Jamii ikiamua.
Watu watakapoichoka ccm wataiondosha tume, polisi,havijawahi kuwa vikwazo
Uraisi hauna sura yeyeto anaweza kujaribuKama JK na JPM wameweza kuwa marais wa nchi hii, nani atashindwa hiyo kazi?
Hio hio ikichoka huwa kitu kimojaUnaongelea jamii hii ya Watanzania kaka?
corona siyo Mungu tena aliyetuvusha au dah hii kiburi ya ccm lazima muangukie pua safari hiiHatuyaangalii hayo madudu yako. Tunamtaka huyu huyu tuliye naye. Kumbuka, katuvusha salama coronani
Tembo kwa hoja ya ushawishi na kukubalika au kwa nguvu ya dola.Mnafananisha Tembo (magufuli ) na swala(tundu lissu). Get serious bwana
kwako ndo visivyo na miguu wala mikono ukweli una uma sanaHivi wewe kwa nini unapenda sana kuanzisha vijimada visivyo na miguu wala mikono?
vile ambavyo wewe hujavisomaLisu amesoma nini?!
WENGI WANAJIANDIKIA TUU hawajui Tanzania ni kitu gani wapo wapo tuuu. Kushughulisha bongo hawataki wanabaki kuishi kwa matumaini.Wangejua Tanzania ni kitu gani wangeweza kujua nini tafasiri ya" mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma". Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaAt least leo umefunguka wapi hasa unasimamia. Membe. Kelele zote kumbe ni kumpigania mgombea wako, kitu ambacho hakina ubaya wowote.
Nisichoelewa ni kwa utaratibu gani JPM atamuachia Membe. Unakumbuka juzi kwenye ufunguzi wa Ikulu mpya Mzee Mkapa alisema nini? "Mbele kwa mbele, wala hakuna kurudi nyuma"
Sio kwa bahati mbaya. Membe sijui kama atawahi kuja kuwa Rais. Sio kwa Tanzania hii, maana naona chances zinazidi kufifia siku hata siku
Hatutaki Rais wa kujaribisha uongozi tunataka Rais asie wanyenyekea wakoloni
Akagombee udiwani tu Chato ndipo anaweza shinda kihalali Nani anahamu ya kuumizwa tenaSio tu tume huru, hata kama kwa kupanga mistari au kunyosha vidole Lisu hatoboi, agenda ya kukumbatia wazungu na kushtaki ulaya yeye na zito zimewatupa bora hata Mbowe
Kwa nguvu ya mapanga shaaaaaTembo kwa hoja ya ushawishi na kukubalika au kwa nguvu ya dola.
Matendo ya uonevu ya ccm mpya kwa miaka 5 yamechangia Sana kuujenga upinzani nchini.WENGI WANAJIANDIKIA TUU hawajui Tanzania ni kitu gani wapo wapo tuuu. Kushughulisha bongo hawataki wanabaki kuishi kwa matumaini.Wangejua Tanzania ni kitu gani wangeweza kujua nini tafasiri ya" mbele kwa mbele hakuna kurudi nyuma". Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Lisu for presidency sio presidentHili jina akisikia jiwe tu, anawehuka, Lisu for president 2020
Si kweli,Hub ni Kenya.Pesa zao ni za mkopo na zinalipwa kwa riba.Wanajua ukiathiri TZ basi utaathiri na nchi nyingi za maziwa makuu amabazo ni vibaraka wao.TZ ndo hurb ya nchi za maziwa makuu.
[emoji23]Magufuli the best president atashinda asubui tu tena kwa kura nyingi sana amefanya makubwa
Ushauri wa namna hii niliwahi kuusoma katika visa vya zamani sana kabla ya zama za Kristo (BC).Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Ana PhD ya chemistry na hana paperwork yeyote aliyofanya researchLisu amesoma nini?!
Asilimia 70 ya watanzania wapo brainwashed na utawala uliopo kuwa sio mafisadi anyway kwa vile ndiyo mnapopatia msosi ni sawaUpuuzi huu usipojibiwa mapema aliyeutoa anaweza asielewe kuwa kamwaga pumba!
Lisu alikuwa anaheshimika sana ila kwa sasa ameshajipambanua kuwa anatumikia mabeberu! Hana ubavu wa kupambama na jembe la afrika Dr. Magufuli. M*mbe ni fisadi MASKINI, akipata nafasi twafa!!! Hatafanya "makosa"!! Atahakikisha anakomba vyote vinavyokombeka, atabeba vyote vinavyobebeka na atafisadi vyote vinavyofisadika!! Ana njaa ya ufisadi kupita mfalme Jeta!!!
Shida kubwa CCM haieleweki wanachama au washabiki wake ni wa mrengo upi. Wafanyakazi miaka mitano "no increment" pamoja na kukosa amani kazini (muda wowote unaweza tumbuliwa), wakulima tuna mfano wa wakulima wa korosho, wafanyabiashara zilizorasmi wamepigwa sana na "interest and penalty" zisizohalisia.Ukweli ni makosa tumefanya wenyewe CCM kuacha kufanya kazi tumekaa kupammbana na maneno na wapinzani kwa gharama kubwa. Tumeacha kuwafanyia watu kazi tumeruhusu vikundi ndani ya Chama na kutengeneza wezi wapya wanaolindwa. Safarii hii wapinzani wana hoja kuliko zilizopita. Sisi CCM asili tunasema ili tushinde tena lazima TUTUMIE DOLA na ndivyo itavyokuwa.