Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!


Mimi sijaelewa

Huyo jamaa kafukuzwa au hajafukuzwa????
 
Wachangiaje wengi hawajapenda alichokifanya yule mbwiga kuchana ile juzuu ispokuwa hawajaridhishwa na kitendo cha Rais kumfuta kazi pasipo taratibu kufuatwa,

Hapa namaanisha kunasiku Rais ataamka na kutaka apelekewe kichwa cha baba, mama, Dada, shangazi kaka mtoto au mjomba wako na watu wakashangilia humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime
Kwani dibagula alikua mtumishi wa serikali?
Mwajiri ameamua kukutema,nenda kachulue tu NSSF yako usepe,
 
Asante mkuu. Hii ni unconstitutional... Kweli katiba mpya inahitajika ili kuondokana na hizi sheria za Mkoloni.

Nimemuona Warioba akidai kuwa tumebafirisha katiba mara tatu. Nafikiri walikuwa wanabadirisha vipengele fulani kwa interest zao. Sehemu kubwa inaekekea ni sheria za Mkoloni. Hata Leo nimeona video Mkuu wa Wilaya anamuweka Afisa elimu ndani bila sababu ya msingi.
 
Kwani dibagula alikua mtumishi wa serikali?
Mwajiri ameamua kukutema,nenda kachulue tu NSSF yako usepe,
Nilisema kashifa za dini zinavyokuwa handled na mahakama, facts of the case are not identical but it shades some light on how to handle such issues

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe hata mfanyakazi wa Serikali akienda kazini akiwa amelewa pombe Mahakama nivigumu kumuhukumu kisheria? Hilo nalo ni somo tuijue sheria.
 
kwa mujibu wa hiyo sheria unazungumziaje uamuzi wa raisi kumfura kazi huyo mtumishi wa umma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisema kashifa za dini zinavyokuwa handled na mahakama, facts of the case are not identical but it shades some light on how to handle such issues

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikupingi moja kwa moja . ila nakukumbusha kabla hutumia Case law kujustify arguments zako unatakiwa uangalie kwanin mahakama ilifikia maamuzi hayo.
na kutambua hilo analogy inatakiwa kuangaliwa pamoja na cirmustance ya kesi nzima iliopelekea judge kufikia maamuzi yale.

kesi ya Dibagula Samatta alisema hawezi kumtia hatiani yule jamaa kwa kusema yesu sio Mungu kwa kuwa alikuwa anahubilia waislamu na sio wakristo. kwa matiki hii ni kwamba kama angelifanya hilo swala Dibagula asingelifanya kwenye muhadhara wa kiislamu basi angekutwa na hatia .

Reasoning hii haiwezi fit kwenye swala tunalolijadili hapa. Hata kama haamini katika dini ya kiislamu huwezi fanya hicho kitu mbele ya hadhara yenye mchanganyiko wa watu wadini mbali mbali kufanya hivyo kutaka kuleta michafuko ya amani katika jamii kitu ambacho ni tofauti na maslahi ya umma.


so hiyo case hata sioni mantiki ya kuilinganisha na mjadala huuu haziendani hata kidgo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisema kashifa za dini zinavyokuwa handled na mahakama, facts of the case are not identical but it shades some light on how to handle such issues

Sent using Jamii Forums mobile app
vile vile kumbuka raisi habanwi na taratibu zozote za kisheria katika kuwawajibisha adabu watumishi wa serikali anaweza kuwaondoa anavyotaka bila kufata taratibu za kisheria soma ibara ya 36 ibara ndogo ya 3 na 4 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli alichofanya ni kufurahisha kundi fulani lakini alichofanya ni uvunjaji wa sheria ambao inabidi ukemewe huyu mtu hana hatia mpaka pale mahakama itakapomhukumu pia hatujui ni mazingira gani yaliyopelekea kutokea hilo tukio baada ya magufuli kuondoka madarakani tutashuhudia serikali ikilipa fidia kubwa kwa watu walionyimwa haki wakati wa utawala wake
 
Hivi MTU akichana picha ya rais, kuitemea mate na kuiita mavi hatofukuzwa kazi??
Sasa huyu mpumbafu kapitiliza maana rais picha yake wala sio takatifu sembuse kitabu kitakatifu.
Maupuuzi mengine yasisubiri wanasheria na maubishi yao yanaonekana wazi huyo mlevi pumbufu afukuzwe kazi tena ashukuru hajawekwa ndani pumbafu zake na za wanaomtetea!!! Na mnaomtetea mkae kimya kabla sijakasirika hiiiii....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…