Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Well, kachagua kuwa dikteta uchwara!I think the President has the Supreme authority...unchallengeable...
unquenstionable. this is according to him... Aliwahi sema kuna mihimili mi tatu.. Ila wake umejikita chini zaidi.
He meant it. Its what is going on now.
So kelele wewe wengine mnaondelea hoji hilo... Mnapoteza muda.
Bottom line is ...that asshole is fired by the hire. So if you dont mind you all shutthefuckup.
Legislature.Executive order ina power over legislative
There you are.. Then we have to get used to him!Well, kachagua kuwa dikteta uchwara!
Ndio maana anababaika na kuhangaika na walevi wanaochana Quran mpaka anatoa matamko tata!
Kuna disciplinary authorities za watumishi, kuna mahakama, kuna tribunals, kuna procedures zipo za kufuata!
Mkolomije huyu kakurupuka toka chattle na matamko yake haramu. Kajaa ubishi.KIBURI.
Kwanza, watu wengi hawajali kabisa kwamba yule mwendawazimu amefukuzwa kazi au vinginevyo.
Kinachotia mashaka ni kuona huyu mkolomije akidhani ana mamlaka yasiyo na mipaka!
He enjoys abusing power! Na anajisikia raha sana kutoa matamko tata!
Sijui ni ugonjwa wa akili?
I can't make sense of this madness!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.
Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.
Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.
Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?
Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Nitaeleza:
1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.
2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake
3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.
Tujifunze kuheshimu Sheria
Hafai huyu!There you are.. Then we have to get used to him!
Hakuna namna...
Hizi dini za waarabu na wazungu zinaleta taharuki sana huku Afrika.
Ili kuwa mtumishi wa uma vinaangaliwa vitu vingi ikiwemo kuheshimu kila mtu bila kujali ni mtu wa imani gani.Alichokieleza jamaa ni kwa mujibu wa sheria za Utumishi wa umma na mahusiano, na standing order.
Kuna hatua za sheria za kumchukulia huyo Mtumishi ikianza na tume ya uchunguzi,na lazima asikilizwe.
Lakini inapokuja swala la Dini Ni kweli amefanya kosa kwa wakristo muumini hutengwa Hadi akili na kutubu.
Kwa kifupi hili Jambo limechukuliwa kisiasa zaidi kuliko SHERIA
Sent using Jamii Forums mobile app
Dibagula aliajiriwa na nani,alikua mtumishi?Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.
Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.
Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.
Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?
Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Nitaeleza:
1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.
2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake
3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.
Tujifunze kuheshimu Sheria
Sio kwer Kama ndio hivyo bac sheria hiyo ilisha expaya maana watumish wanafumaniana kila siku na hazchukuliwi hatua Kama hizoIli kuwa mtumishi wa uma vinaangaliwa vitu vingi ikiwemo kuheshimu kila mtu bila kujali ni mtu wa imani gani.
Ubaguzi na chuki vinaenda kinyume na utumishi wa uma.
Ndio nini?Mbumbumbu mzungu wa railway.. tumia hata Google ujifunze mbwigawewe.
Ah kila siku tunafanya kazi za balozi wa nyumba kumi.InasikitishaRais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Fanya citation ya sheria na kanuni za maadili ya watumishi wa umma inayompa rais hayo mamlaka ya kumfukuza mtu kazi kwa kosa hilo alilofanya.Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Kwani kuna kosa gani huyo ni mwanachama wa cdm.Kama ndiyo,wanahaki ya kuwatafuta hao waheshimiwa.Kwa nini mnapenda saaana kuonea watu hali katiba na taratibu za nchi zipo zinavunjwa hovyo hovyo tu na wajinga nao wanasema ok.Lets wake up.Chadema mtafteni Jebra Kambole au Kibatala haraka ili amsaidie huyo jamaa. Jiungeni pia na watetezi wa haki za binaadamu.