Hilo jambo la kufumaniana utalilinganishaje na hili? Suala lakufumania halimuhusu mtu mwingine zaidi ya aliye fumania na aliye fumaniwa kwa sababu kama ni mke ni wako tu na sio mke wa jamii fulani.Sio kwer Kama ndio hivyo bac sheria hiyo ilisha expaya maana watumish wanafumaniana kila siku na hazchukuliwi hatua Kama hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
We jamaa umenena vyema...!!! Hizi dini tunazibeba kias kwamba sisi ndo tumezianzisha..!! Kikubwa amini Mungu yupo na usitende yale yasiyo mpendeza Mungu bac.... Mengine tuwaachie wenye mihemko na dini.Hizi dini za waarabu na wazungu zinaleta taharuki sana huku Afrika.
Point ni mtumishi wa umma alafu matendo ya kijinga hayo mengineyo hayana umaana.Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.
Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.
Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.
Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?
Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Nitaeleza:
1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.
2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake
3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.
Tujifunze kuheshimu Sheria
Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
We jamaa umenena vyema...!!! Hizi dini tunazibeba kias kwamba sisi ndo tumezianzisha..!! Kikubwa amini Mungu yupo na usitende yale yasiyo mpendeza Mungu bac.... Mengine tuwaachie wenye mihemko na dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi hawajui kuna tofauti kati ya immorality and illegality. Sio kila kitu ambacho ni immoral ni illegal.Sijui hata kama watawala wetu wanatambua kuwa nchi yetu kuwa "secural state" inamaanisha nini? Licha ya muhusika kufanya kitendo chenye maudhi kwa watu wenye imani iliyokuwa tofauti na ya kwake, lakini ingetosha muhimili wa mahakama ufanyie kazi suala hilo ambalo kwa mazingira ya wazi yalionyesha kuwa ni la kichochezi.
Ndiyo! Tendo hilo la kuchana juzuu tena mbele ya Waislamu, ni kutaka kuwachochea kwa makusudi ili wapate mihemuko isiyokuwa na ulazima wowote na hatimaye wakose uvumilivu, na pengine ktk kuitetea imani yao wapate sababu ya kulipiza kisasi, jambo ambalo linaweza kuwaingiza ktk kutenda jinai ama uvunjifu wa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi namba 4 na namba 5 unajikontradikti... umeonyesha uislamu wako na si uhalisia... Yaani huyu kusema Yesu si Mungu umeona ni sawa..!!! Hapo hapo kwa dhana hiyo hiyo usisahau kuwa kwa aliyechama hicho kitabu, kwa imani yake halina tofauti na kile cha historia, kama ambavyo huyo aliyesema Yesu si Mungu anaovyoamini juu ya hilo... HALAFU USISAHAU KUWA KATIBA INATOA UHURU WA KUTOA MAONI, LAKINI INATEGEMEA NA MAONI UNAYOTOA... Hivi ukiona useme utauwa watanzania wote uachwe kwa vile una uhuru wa kutoa maoni.???1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
Akina nani hao?...Kwa nini mnapenda saaana kuonea watu hali...
Huu ndo ujinga ulikithiri... yaani asiye RC aseme Yesu si Mungu halafu mimi nmlazimoshe kusema YESU ni Mungu huku nikijua yeye si wa RC..!!! ASEM WA RC NDO NITASHITUKA.... The fact kwamba hayuko kwenye u RC basi Indirectly anasema Yesu si Mungu... sihangaiki na huyo....Dibagula alichana na kuikanyaga Biblia?
Kusema Yesu siyo Mungu siyo ishu maana imeandikwa hivyo kwenye Quran kuwa Yesu siyo Mungu.
hata Mashahidi wa Yehova wanasema Yesu siyo Mungu.
sasa kama serikali iliyoko madarakani inafanya kazi kwa niaba yako , mbona huwa unashupaza shingo kumpondea magufuli humu jukwaani?Serikali iliyopo madarakani inafanya kazi kwa niaba ya wananchi usiwe mpumbavu.
Wanafanya hayo au yanayofanana na hayo mara kadhaa... na wakristu tunawapotezeaga tu.. umewahi fika kwenye mihadhara yao..?? Yaani hawa watu hata misiba ya kiislamu huwa waziba barabara... hata wakiwa na sherehe huwa wanaweka maturubai kuziba barabara..!! Tunavumiliaga sana...Haijalishi unaamini nini ila kuchukua kitabu cha wenzako ukakichana na maneno kibao ya dhihaka sio sahihi. Same people mnaomtetea huyu jamaa sidhani mngefurahi ingekuwa kinyume chake. Watanzania tuacheni unafiki. Hivi mfano utajisikiaje wewe kama mkiristo umshuhudie ustadh na kibandiko chake achukue biblia hadharani afungue zipu aikojolee huku akiwadhihaki wakristo kama jamaa wa morogoro alivokua anaongea wakati anachana mas'haf
anasubiri nini sasa kujiua?Moja ya athari za kifaa cha kusaidia moyo (pace maker,) ni depression (sonona)
Hii hupelekea baadhi ya wagonjwa kuwa vichaa na wengine hupekea kujiua.
Sent using Jamii Forums mobile app