Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Sio kwer Kama ndio hivyo bac sheria hiyo ilisha expaya maana watumish wanafumaniana kila siku na hazchukuliwi hatua Kama hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jambo la kufumaniana utalilinganishaje na hili? Suala lakufumania halimuhusu mtu mwingine zaidi ya aliye fumania na aliye fumaniwa kwa sababu kama ni mke ni wako tu na sio mke wa jamii fulani.
Lakini kitabu cha dini kinagusa mamilioni ya watu na haitakiwi kukidhihaki ni kosa.
 
Pole sana . Mm ni mwislamu ila siyo DOGMA.
Ungesema kosa alofanya pale kisheria ni lipi.katiba kusema tu kwamba kufanya jambo lisilofaa hufai kuwa Mtumishi ni kuonesha kwahyo MTUMISHI AKIFUMANIWA ANAFUKUZWA KAZI?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point ni mtumishi wa umma alafu matendo ya kijinga hayo mengineyo hayana umaana.
 

Shida ya kiongozi wetu ni kuongea sana kwa freestyle. Anasahau maneno ya kiongozi yana uzito sana, na hii ya kumchukulia Rais kama mfalme ndio tatizo letu kubwa. Ajira ni mkataba, una masharti yake ya kuvunja. Huyu jamaa anaweza kwenda mahakamani na kushinda kesi na unlawful dismissal. What will happen then?
 


Hiyo ni mifano ya nchi ambayo ni predominantly Christians, kwenye taasisi nyingi za serikari na private zinazotoa huduma kwa jamii mchanganyiko utakuta kuonyesha msalaba kwa mfanyakazi mkirsto airuhusiwi kwa sababu awaamini kwenye ku-promote dini kazini.

Whereas taasisi hizo hizo utakuta kalasinga anaruhusiwa kuvaa turban na wanawake wa kiislamu ushungi; why so? Kwa sababu wanaona ni sehemu muhimu ya dini zao, wakati kuvaa mslaba kwa wakristo inaonekana sio takwa la lazima.

Ndio kama hii kesi ya huyu jamaa kwa wale wanaoona anaonewa ni kwa sababu awali tazami hilo kosa kwa jicho la waislamu bali kwa imani zao wao; hila kwa waislamu hiyo ni adhabu stahiki kwa nchi yetu.

Ingelikuwa nchi ambazo uislamu unetawala na zenye sheria za blasphemy hilo kosa adhabu yake ni death by stoning. Hatua za serikari ni sahihi kabisa Katika kuhakikisha watu wana heshimu dini za wengine.
 
Watu wengi hawajui kuna tofauti kati ya immorality and illegality. Sio kila kitu ambacho ni immoral ni illegal.
 
Kiongozi namba 4 na namba 5 unajikontradikti... umeonyesha uislamu wako na si uhalisia... Yaani huyu kusema Yesu si Mungu umeona ni sawa..!!! Hapo hapo kwa dhana hiyo hiyo usisahau kuwa kwa aliyechama hicho kitabu, kwa imani yake halina tofauti na kile cha historia, kama ambavyo huyo aliyesema Yesu si Mungu anaovyoamini juu ya hilo... HALAFU USISAHAU KUWA KATIBA INATOA UHURU WA KUTOA MAONI, LAKINI INATEGEMEA NA MAONI UNAYOTOA... Hivi ukiona useme utauwa watanzania wote uachwe kwa vile una uhuru wa kutoa maoni.???
 
Bosi wako anaweza kukufukuza hata kama hapendi harufu ya manukato yako ... kisheria anaweza akawa sahihi mahakama ndiyo itakayo amua ila mwajiri wake kasema hamtaki ... imekuuma sana akitoka mwajiri wewe
 
Haijalishi unaamini nini ila kuchukua kitabu cha wenzako ukakichana na maneno kibao ya dhihaka sio sahihi. Same people mnaomtetea huyu jamaa sidhani mngefurahi ingekuwa kinyume chake. Watanzania tuacheni unafiki. Hivi mfano utajisikiaje wewe kama mkiristo umshuhudie ustadh na kibandiko chake achukue biblia hadharani afungue zipu aikojolee huku akiwadhihaki wakristo kama jamaa wa morogoro alivokua anaongea wakati anachana mas'haf
 
Hakuna mwajiri mpumbavu ambaye anaweza amuajiri yule kichaa ... Mtumishi wa umma mpumbavu ... siujui uislam ila siwezi nikaamka asubuhi nianze kuchana makaratasi yao infront of camera eti kisa siutaki uislam ...
 
Dibagula alichana na kuikanyaga Biblia?

Kusema Yesu siyo Mungu siyo ishu maana imeandikwa hivyo kwenye Quran kuwa Yesu siyo Mungu.

hata Mashahidi wa Yehova wanasema Yesu siyo Mungu.
Huu ndo ujinga ulikithiri... yaani asiye RC aseme Yesu si Mungu halafu mimi nmlazimoshe kusema YESU ni Mungu huku nikijua yeye si wa RC..!!! ASEM WA RC NDO NITASHITUKA.... The fact kwamba hayuko kwenye u RC basi Indirectly anasema Yesu si Mungu... sihangaiki na huyo....
 
Serikali iliyopo madarakani inafanya kazi kwa niaba ya wananchi usiwe mpumbavu.
sasa kama serikali iliyoko madarakani inafanya kazi kwa niaba yako , mbona huwa unashupaza shingo kumpondea magufuli humu jukwaani?
 
Haya yalianza toka ishu ya Nabii Tito,alikamatwa na kudharirishwa pasina sababu ya msingi.
 
Retire wewe ni mnafiki sana. Kama amekuuma nenda kamtolee dhamana ikotokea akishinda kesi muajiri wewe...
 
Wanafanya hayo au yanayofanana na hayo mara kadhaa... na wakristu tunawapotezeaga tu.. umewahi fika kwenye mihadhara yao..?? Yaani hawa watu hata misiba ya kiislamu huwa waziba barabara... hata wakiwa na sherehe huwa wanaweka maturubai kuziba barabara..!! Tunavumiliaga sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…