Rais Magufuli kuondoa sherehe za Uhuru ili fedha zikajenge hospitali Dodoma si jambo la sifa, ni kuonesha Serikali haina mipango hususan ya maendeleo

Hivi hawa watoto wanaokua sasahivi wajifunze nini juu ya Sherehe za Uhuru?

Ikiwa Uhuru hawakuuona na Sherehe zake wasizione?

Inchi inayoghairi Sherehe za kitaifa kwa Mujibu wa Katiba ni Nchi mfu.
Nyie ndio wapiga hela mnaotaka kupewa tenda za t-shirts mapambo chakula no

Magu amewashtukia
 
Hakuna mtu mwizi kama jiwe in this country since 09th December 1961.
 
All in all hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
 
Ajabu sana.halafu kumbe hata ile hospital ya uhuru bado haijakamilika mpka sasa (wanasema ujenzi umefikia asilimia 94).

Ni wajinga tu ndio watakaoshangilia .
 
Ni kweli hii ni hatari,kama mkuu wa Nchi anapindua aprovals za Bunge bila wao kuhusika.Hiv budget si huwa inatungiwa sheria ndiyo inaanza kutumika?.ama nakosea,kuna kitu kinaitwa "apropriation act" Hii huwa ni nini?
 
Sherehe za Uhuru zinamaliza hela tu. Hongera Rais Magufuli kwa kuliona hilo. Hii nchi imepigwa sana enzi za Kikwete kupitia visherehe vya ajabu ajabu.
Huyo mwanaume uliyenaye anapata taabu sana kukuelewesha mambo madogo, Kikwete ndiye aliyeanzisha hzo sherehe?
 
Sherehe za Uhuru zinamaliza hela tu. Hongera Rais Magufuli kwa kuliona hilo. Hii nchi imepigwa sana enzi za Kikwete kupitia visherehe vya ajabu ajabu.
Vipi kuhusu Mwenge haumalizi hela, me Nadhani a
 
Hizo Akili binafsi angezitumia Wakati bajeti inapangwa, siyo hivi.
 
Sherehe za Uhuru zinamaliza hela tu. Hongera Rais Magufuli kwa kuliona hilo. Hii nchi imepigwa sana enzi za Kikwete kupitia visherehe vya ajabu ajabu.
Kumbukumbu ya UHURU WA TANGANYIKA ni Sherehe za AJABUAJABU?

Unataka VIZAZI VIJAVYO VISIIJUE HISTORIA JUU YA TANGANYIKA?
 
Comments za watu kwenye huu uzi zinasikitisha sana.
Sijui kwa nini baadhi yetu hatujifunzi haya mambo! Yaani watu wanaandika mi comments mirefu as jadili jambo la maana.
Hivi zaidi ya kutaka misifa na populism kuna lipi la ajabu?
 
kwaio Mh Rais hataki watu wake tushuhudie kwata la kufa mtu pale jamhuri na makomandoo wakifanya yao?
 
Sherehe za Uhuru zinamaliza hela tu. Hongera Rais Magufuli kwa kuliona hilo. Hii nchi imepigwa sana enzi za Kikwete kupitia visherehe vya ajabu ajabu.
Ila wewe unakataga keki kila mwaka birthday yako na mnaalikana na mashosti kula keki na mapaja ya jimbi
 
Rudi shule uweke akili na uelewa wako wa mambo vizuri.
 
Kabla ya Awamu hii isiyo na mwelekeo, siku ya Uhuru ilikuwa inaadhimishwa kwa kuwaonyesha wananchi Serikali yao, Mashirika ya Umma na hata Sekta Binafsi wamefanya nini kipindi cha mwaka husika. Wafanyakazi waliandamana na magari yao yakiwa yamepakia bidhaa zilizozalishwa au zinazouzwa wakapita mbele ya mgeni Rasmi na wageni waalikwa. Hii iliwapa nafasi wananchi kulinganisha maendeleo yaliyopigwa Kati ya mwaka uliopita na huu.
 
Mataahira ya Lumumba yatakuja hapa!
 
Naona na yeye ndivyo alivyojipambanua kuwa hapendi hayo masherehe sherehe kama lilivyo suala la demokrasia kwake pia bila kificho hapendi.

Lakini yeye kama kiongozi mkuu wa nchi anapaswa kufuata misingi ya sheria na katiba ya JMT imezitambua sherehe hizi ni muhimu katika kutunza historia ya nchi. Aliapa kuilinda na kuitunza katiba hivyo anachofanya ni kinyume na kiapo chake.

Kuendelea kufanya hivi kama kiongozi mkuu ni kuichafua taasisi ya urais. Rais anayejiamulia mambo yake anatengeneza njia ya kuifanya katiba isiginwe na ionekane si kitu cha muhimu ambacho mtu yeyote awaye na mamlaka anaweza kuisigina tu atakavyo. Hii ni dalili isiyo njema kabisa kwa uelekeo wa taifa letu.

Kama ana maono mazuri kwa taifa kupitia sherehe hizi basi ni vyema akafuata utaratibu wa kisheria wa namna ya kufuta sherehe hizi na sio kutuonesha sarakasi zake za uvunjifu wa katiba. Ni rais asiefuata misingi ya utawala bora.
 
Lakini Rais huyu siye muasisi wa kusherehekea sikukuu za kitaifa kwa utaratibu huu uliozoeleka. Ila yeye ana maoni kuwa ni ufujaji wa pesa, kwa hiyo kuzielekeza pesa hizo eneo jingine sioni kama ni jambo baya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…