Madaraka ya nchi huwa hayapewi,ni lazimaMagufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
Hili sikuli notisiMagufuli alishindwa kumpa hata Sumaye, waziri mkuu wa Mkapa kwa miaka 10 slot ya kutoa neno kwenye ratiba ya wazungumzaji kwenye Msiba wa Mkapa ndo atampa JK nafasi ya kumpigia kampeni?
Achievement za Mkapa alikuwepo Sumaye kama waziri mkuu lakini walimuignore, very unfair
Daah! Msukuma anadharau Sana huyu. Anawaona watu wote ni mabwege kwakeKama alishindwa kumpa hata wasaa asalimie wananchi juzi pale dodoma , atampa kweli jukumu la kampeni ?
Na aliandika siku ileile saa kumi huwa nautafakari ujumbe wake huu sipati majibu nn kinaenda kutokeaHuu ulikuwa unabii, au jamaa alikuwemo kwenye kikao cha mipango?
Siulizi swali, ninatafakari.
Subiri mwaka huu uone unafikiri mbinu ya CCM kujitangaza washindi hata Kama wameshindwa kwenye sanduku la kura kupitia nec watu hawaijui wameandaa dawa yenu mwaka huu .Magufuri hata asipopiga kampeni atashinda tu... Hamna mtu anayeweza kuwapa chadema nchi. Mbona haitaji hata elimu ya chuo kikuu kuelewa hilo. Watu wengine vichwa vyenu vina nini? Mbona hamuelewi?
Ccm Zanzibar inatia huruma .Magufuri hana haja ya kufanya kampeni na kuanza kutoa ahadi mpya
Anachokisimamia yeye hivi sasa miradi yake aliyoianzisha ifikie ukomo
Kazi kubwa hivi sasa ni ya wapinzani kuibua hoja mpya
Hoja za zamani za wapinzani
Tume huru ya uchaguzi
Katiba mpya
Nchi aina ndege hata 1 ni aibu hii
Elimu bure kuanzia awali mbaka seco
Vifaa tiba hospital zetu hakuna
Madawa hospital zetu hakuna
Madini yanaibiwa na mabeberu
Ndani ya ccm kuna mapapa wa ufisadi
Miradi ya umeme tunapigwa
Mikataba feki
Mali asili za taifa ikiwemo twiga wanapindwa kwenye ndege
Rushwa serikalini
Nidhamu mbovu ya watumishi serikalini
Baada ya miaka mitano ya magufuri
Leo wapinzani wamepindua meza
Wamekuja na hoja mpya
Kazi ya magufuri na ccm yake ni kuzisikiliza hoja za wapinzani na kisha kuzifanyia kazi ili 2021 2022 mbaka 2025
Mtakuwa tayari mmeshamalizana nazo
Ifikapo 2025 wapinzani waje tena na hoja zingine hapo ndio tutakuwa tunajenga taifa la tanzania..
Wapiga kura si ndo wanampa ushindi? Ss akilala ataonekanaje dharau tena na bado ashinde?JPM atashinda uchaguzi ata akiwa amelala nyumbani kwake, shida itakuja atakapo amua kulala nyumbani itaonekana dharau kwa wapiga kura.
Huyu ndugu ana jicho la kinabii. Kongole kwake.
Kikwete, Kinana na Makamba watasema nn? Wametukanwa hadharani na Musiba na walipojaribu kulalamika Kinana na Makamba wakapewa adhabu na Magufuli.Kuna watu sita (6) ambao Mheshimiwa anapaswa kuwaomba kwa njia ya kipekee wamsaidie katika kampeni zake za uchaguzi mwaka huu;
1. Mzee Kikwete
2. Kamarade Kinana
3. Mzee Warioba
4. Mzee Butiku
5. Mzee Msekwa
6. Mzee Makamba
Huyu jamaa hatomaliza kampeni atadondoka na kusepa peoni. Utanikumbuka.Acha zako wewe. Jiwe kapiga campain kwa miaka mitano peke yake baada ya kuwafungia wengine na bado leo hii anahaha! Hakutegemea haya yanayoendelea hivi sasa. Na anaweza kudondoka jukwaani wakati wowote kwa hofu.
Huyu bwana Petro unabii wake bado kidogo (5%) kutumia kwa asilimia zote. Yaani Lisu kuingia ikulu tu.Huyu bwana Mbelwa Petro ana maono yenye kuaminika!!! If you read between the lines all that he wrote has come to pass!
Sijui ni jamaa gani huyuHuyu bwana Petro unabii wake bado kidogo (5%) kutumia kwa asilimia zote. Yaani Lisu kuingia ikulu tu.
Atakufa kabisa. Ule moshi wa Ruangwa utakuja kwa nguvu mara tatu zaidiNa safari hii Lazima atazima tu jukwaani...