Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

Yaani Kabudi anamuabudu Magufuli.

Kabudi ni mtu wa kusujudia wenye mamlaka toka zamani. Na sasa hivi ndio kabisa maana amemkuta anayependa kusujudiwa kiwaziwazi. Ukitaka kujua anajipendekeza kwake, angalia Magufuli akiongea utani, utamuona anachejikesha kwa nguvu, na anajitahidi kucheka Magufuli amuone anavyocheka! Ingekuwa ni baba yangu ningemwambia dingi unazingua.
 
Saruji ~Cement Acha Tuone Majawabu Toka Kwa PM, Maana Alichosema Ndiyo Tunataka Kusikia Nini Chanzo Cha Bei Kuruka
 
Kabudi ni mtu wa kusujudia wenye mamlaka toka zamani. Na sasa hivi ndio kabisa maana amemkuta anayependa kusujudiwa kiwaziwazi. Ukitaka kujua anajipendekeza kwake, angalia Magufuli akiongea utani, utamuona anachejikesha kwa nguvu, na anajitahidi kucheka Magufuli amuone anavyocheka! Ingekuwa ni baba yangu ningemwambia dingi unazingua.
Wote yeye na bosi wake ni kitu kimoja
 
Amerudia zile kauli zake za "Mimi ni nani mpaka nipewe cheo,umenitoa jalalani,umenitoa mavumbini"
Hizo kauli hazina shida yoyote kwa mtu anayejitambua na anayejua vema matumizi ya tamathali za semi. Ni wendawazimu kuendelea kubeza matumizi ya neno jalalani kutoka kwa mh. Kabudi kwani ni yeye anayejua kuwa alitolewa jalalani ama la.

Hiyo ni tungo ambayo imetumika hata kwenye kitabu kitakatifu kama Biblia. Tatizo lenu keyboard warriors ni kujiona mnajua kila kitu ndiyo maana siku zote mtaendelea kuwa wahanga wa kinachoendelea.

Kuna watu wa aina mbili wanaofeli kwenye mambo yao. Wale wanaojua kila kitu na wale wasiojua kitu. Kwenu nyinyi haters mnapoteza pande zote. Mkiwa mnadhani mnajua kila kitu, ukweli ni kuwa hamjui kitu.
 
Sasa kuna sababu gani ya kutumia maneno ya biblia yanayomtukuza Mungu kumtukuza Magu?
Hizo kauli hazina shida yoyote kwa mtu anayejitambua na anayejua vema matumizi ya tamathali za semi. Ni wendawazimu kuendelea kubeza matumizi ya neno jalalani kutoka kwa mh. Kabudi kwani ni yeye anayejua kuwa alitolewa jalalani ama la..
 
Mwaluko Kabudi ametia aibu sana leo Amequote mpaka Bible kuwa yeye ameokotwa jaani na akafafanua kuwa jaani ni Jalalani......

Elimu Bado haijamkomboa mwafrika.

Watoto wa huyu mzee wana kazi sanaa
 
Kwani si hata Pinda mwaka 2010 alipita bila kupingwa? Au mimi nimepoteza kumbukumbu?

Nakumbuka mwaka huo CCM kulikuwa na wabunge 42 waliopita bila kupingwa akiwemo Pinda, Makinda na Magufuli.
Ni kwa vile humu vijana ni wengi. Tangu baada ya uchaguzi wa vyama vingi mawaziri wakuu wote walipita bila kupingwa.

2000 sumaye alipita bila kupingwa
2005 Lowassa alipita bila kupingwa
2010 Pinda alipita bila kupingwa
2020 Kassim kapita bila kupingwa
 
Sasa kuna sababu gani ya kutumia maneno ya biblia yanayomtukuza Mungu kumtukuza Magu?
Mkuu hapo sijazungumzia habari ya kumtukuza. Nimezungumzia habari ya kumshukuru kwa "kumtoa jalalani". Kwa kifupi nililenga kujadili hiyo kauli ya jalalani na namna inavyopotoshwa kwa makusudi.
 
Kupata 84.4% ya USHINDI ni kitu KIKUBWA mno...ni DENI kubwa mno.

Haijawahi kutokea rais wa Zanzibar apate asilimia 76.

Wananchi WAMETUKOPA IMANI.

-Mh.Rais Magufuli
 
Hapo ndipo huwa namwopa sana John Magufuri, wakati wowote anaweza fanya chochote kama performance yake haiendi sawa. Nimemwona waziri mkuu sura imebadilika baada ya kusikia kauli hiyo
 
Back
Top Bottom