Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi au kura za kwenye mabeg?Kupata 84.4% ya USHINDI ni kitu KIKUBWA mno, ni DENI kubwa mno.
Haijawahi kutokea rais wa Zanzibar apate asilimia 76.
Wananchi WAMETUKOPA IMANI.
-Mh.Rais Magufuli
Jukumu la kumsifia rais kila maraHivi PM kwa sasa hivi amebakishiwa majukumu yapi?
Hakika watanzania huu ni wakati wa kukaza mkanda hali ni tete.Nilikuwa hapa Singida nikielekea Mwanza. Niliamua kusimama kwa muda mchache kufuatilia hotuba ya Rais Magufuli baada ya kumuapisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Katika maneno mengi aliyozungumza, nimebeba yafuatayo:
Huyu mtu ni hatari sn mkuujiwe huwa anaandaliwa hotuba kama walivyokuwa wenzie ? , nadhani mzee kila siku zinavyozidi kwenda anaelekea kuharibu zaidi .napata wakati mgumu kuamini ametamka haya
View attachment 1627574
Mmmh mheshimiwa Mungujiwe huwa anaandaliwa hotuba kama walivyokuwa wenzie ? , nadhani mzee kila siku zinavyozidi kwenda anaelekea kuharibu zaidi .napata wakati mgumu kuamini ametamka haya
View attachment 1627574
Huyu mtu ni hatari sn mkuu
Nilikuwa hapa Singida nikielekea Mwanza. Niliamua kusimama kwa muda mchache kufuatilia hotuba ya Rais Magufuli baada ya kumuapisha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Katika maneno mengi aliyozungumza, nimebeba yafuatayo:
Duh nipe link nionejiwe anasikitisha sana,Ndugai nae nimeona juzi clip yake whatsapp anamsifia dada yake bashe akamuomba awepo viwanja vya bunge badae