Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Wanampangia Mungu, ngoja tuoneKwa waliosikiliza kilichosemwa leo tayari serikali ya CCM na viongozi wake wapo mguu ndani mguu nje. Wanaondoka na tuseme wanaondolewa au neno zuri la kikwetu wanafurushwa na haizidi mwaka...