Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

Rais Magufuli leo, akiongea baada ya Waziri Mpango kusema mke wake anampa raha, mvua zikaanza kunyesha!!

Magufuli amesema katika utawala wake viongozi hawatakiwi kupewa raha na wake zao.
Wanaotakiwa kuwa na raha ni wananchi.
Magufuli amesema Majaliwa hapati raha kwa mke wake.
Makamu wa Rais hapati raha kwa mume wake.
Yeye mwenyewe hapati raha kwa mke wake.....!

Duuuuh..............!
 
Hii ni personal view au maoni binafsi kuwa viongozi walio baki kama ma DC, RC, RCO RAS na wengine kama waziri mkuu watakuwepo kwa muda flan na muda wowote wanaweza wakatenguliwa sababu naijua mwenyewe maana nikiiweka wazi hapa JF watafuta huu uzi. tuishie hapo nhayo ni mawazo yangu binafsi tu
 
Hii ni personal view au maoni binafsi kuwa viongozi walio baki kama ma DC, RC, RCO RAS na wengine kama waziri mkuu watakuwepo kwa muda flan na muda wowote wanaweza wakatenguliwa sababu naijua mwenyewe maana nikiiweka wazi hapa JF watafuta huu uzi. tuishie hapo nhayo ni mawazo yangu binafsi tu
ramli
 
JAJI MKUU(Ibrahim Juma): Kwanza nawapongeza kwa kupata madaraka na mamlaka kutoka kwa wananchi, pili kupata Imani ya mheshimiwa Rais kuwapa wadhifa na madaraka ya kuwa mawaziri...
Sasa mbona anacompromise mahakama. Mpuuzi mkubwa kabisa, perfect unmion utaipata kwa kuwalea madikiteita na hukumu hovyo kwahi kutokea...nyamaza kabisa
 
Kabudi ni mtu wa kusujudia wenye mamlaka toka zamani. Na sasa hivi ndio kabisa maana amemkuta anayependa kusujudiwa kiwaziwazi. Ukitaka kujua anajipendekeza kwake, angalia Magufuli akiongea utani, utamuona anachejikesha kwa nguvu, na anajitahidi kucheka Magufuli amuone anavyocheka! Ingekuwa ni baba yangu ningemwambia dingi unazingua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
JPM: "Bila wajibu; Haki, uhuru, na demokrasia hakuna. Najua mmenielewa". Kauli hii inafikirisha sana.
 
View attachment 1627594
“Mpango umesema Mkeo anakupa raha, mwaka huu hakuna cha raha sana, Waziri Mkuu umesema unampa raha Mkeo mwaka huu hakuna raha, kwasababu hata Mimi sipati raha sana kwa Mke wangu, mlikuwa mnamuona Makamu wa Rais anazunguka kila siku unafikiri alikuwa anapata raha kwa Mume wake?, ni kuchapa kazi, lazima tuteseke Wananchi wapate raha”-JPM Ikulu ya Chamwino Dodoma leo.
Duuhhh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]

Raha kama raha
 
Bado najiuliza kwanini PM alipita bila kupigwa ubunge!? Kwanini wapinzani wake walitekwa!? Kama ni kosa kugombea na mwenye maamlaka kwanini mbinu za uungwana zisitumike kama kubadili katiba kuondoa dhuluma ya kikatiba?
Sisi tuliona anatosha tukampa tano tena! Wewe pia ungeweza kugombea naye, katiba inakuruhusu mbona hukufanya hivyo?!
 
Back
Top Bottom