Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

Rais Magufuli: Nataka nimwambie Mheshimiwa Kassim, kazi ya uwaziri mkuu haina 'guarantee'

Kabudi ni mtu wa kusujudia wenye mamlaka toka zamani. Na sasa hivi ndio kabisa maana amemkuta anayependa kusujudiwa kiwaziwazi. Ukitaka kujua anajipendekeza kwake, angalia Magufuli akiongea utani, utamuona anachejikesha kwa nguvu, na anajitahidi kucheka Magufuli amuone anavyocheka! Ingekuwa ni baba yangu ningemwambia dingi unazingua.
Baba yako kafikia cheo gani kikubwa hapa Tanzania?
 
Huwa ninacheka kwa nguvu nikisikia kuwa serikali hii inabana matumizi, unakuta shughuli ya kuapishwa kama hiyo wanakwenda mpaka mawaziri wakuu wastaafu mfano Melecela, Lowasa nk. Hao wote wanalipwa kuhudhuria hiyo hafla, ni kipi cha maana wao wanaenda kukifanya?
Hahah bwn yule tangu 2017 mpk leo na milele sitamuamini chochote kile atakacho kisema iwe ni story za kubana matumizi au la.
 
Rushwa na ahadi za vyeo.

Hakuna kingine. Tatizo bado hatujawa na tume huru na katiba inayompunguzia mungu wa wapenda vyeo madaraka makubwa...
Unadhani ni kweli Profesa Kabudi amewahi kuishi Jalalani? Hizi tungo Tata tuwaachie waliosoma Ligha.

Inawezekana siku upinzani ukishika nchi, huku waliko sasa kutakuwa Jalalani na itakuwa halali kwao kuwashukuru wananchi kwa kuwatoa Jalalani.

Tujadili vitu vya maana badala ya Kuokoteza misemo Tata na kuifanya ajenda
 
Ilaniya chama ina kurasa 308, Kuna sehemu inasema mtajenga kwa kiwango Cha lami kutoka mererani - simanjiro - dodoma 2. Geita mjini - kahama 3. Sanya juu - longido. 4. Shinyanga - mwanza 5. Geita - nzera( geita vijijini). Tunaomba mtuambie utekelezaji wake unaanza lini , wabunge tumeshawapatia na kura tuliwapa na mlihaidi kutekeleza. Hatutaki siasa tunataka matendo sasa
Wapinzani walichelewesha sana maendeleo,nasema uongo ndg zanguuuuuu?
 
Ngoja tuone...
Tatizo wamemsifia sana Waziri Mkuu Bungeni mpaka Rais kaona sasa huyu anatakua kua kama mimi...



Cc: mahondaw
 
Mbona amenyang'anywa jukumu la kuteua baraza la mawaziri na kuendesha serikali, ndo maana anaambiwa kazi yake haina garantii.
 
Joni wa Huyu wa leo ni tofauti na yule wa kwenye kampeni
 
Ila kweli Ualimu wa chuo kama hauna vimiradi na unategemea mshahara tu ,ni umaskini kabisa.
Miradi gani hiyo unaisema? Nikimuona mwalimu wa chuo anafuga kuku, ana daladala, ana bar huyo ni bwege tu! Profesa kama Kabudi alistahili awe na kitabu ambacho ni best seller, awe ni board member wa international community fulani, awe ktk research kubwa ya Afrika kuhusu tawala zetu, nk. hizo zote zimlipe kiasi cha kukataa kuwa waziri mwizi-mwizi wa pesa za wizara.
 
Miradi gani hiyo unaisema? Nikimuona mwalimu wa chuo anafuga kuku, ana daladala, ana bar huyo ni bwege tu! Profesa kama Kabudi alistahili awe na kitabu ambacho ni best seller, awe ni board member wa international community fulani, awe ktk research kubwa ya Afrika kuhusu tawala zetu, nk. hizo zote zimlipe kiasi cha kukataa kuwa waziri mwizi-mwizi wa pesa za wizara.
Vitabu nani watasoma?Watanzania sio wasomaji.
 
The first ceremonial PM in Tanzania. Anafokewa kama mtoto. Utasikia "na wewe hebu maliza hiyo hotuba yako, vinginevyo nitakukatisha"

Au "nilikuwa nakisubiri na wewe uungane nao, ningewafuta wabunge wote wa Kusini"

Au "ningewapiga mashangazi zako".

Hivi PM unatukanwa on camera halafu upo tu?
Huyu baba amepitia mateso makubwa sana ya kisaikolojia.
Sijui akijifungia chumbani kwake huwa anawaza yepi!
 
Huyu baba amepitia mateso makubwa sana ya kisaikolojia.
Sijui akijifungia chumbani kwake huwa anawaza yepi!
Chuma Hicho ~~~~😆😅😄😃😂😁😀
Alivuruga
 
Hatimaye yeye mwenye guarantee tumemfukia.

Asiye na guarantee anadunda na cheo chake.
 
Yaani asingetoboa 2022,,kipindi hicho bashite ndo ameenda kusomea uongozi sijui wapi huko,,
 
Back
Top Bottom