Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
bashite na cheap zakeKwani nani angemruhusu kuendelea zaidi ya miaka 10 hata hivyo? Hiko kilikuwa kimbelembele cha baadhi ya watu wajinga. Hatuwezi kubadili katiba eti sababu ya rais Magufuli utendaji wake wa kazi. Kwa hiyo ina maana akichaguliwa rais asiye na utendaji mzuri awamu ya kwanza, hivyo tutabadilisha katiba tena ili apunguziwe tena miaka ya kutawala?? Hiyo ilikuwa hoja ya kipuuzi hii Bongo siyo Rwanda.
Next step ni kubadilisha katiba?Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.
Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.
Yaani vijana wa yule mfuasi mwenye matatizo ya akili kichwani mna shida kweli kweli, yaani mnadhani eti kawaogopa ninyi wakati katiba ndivyo ilivyo. Natamani nyie wanafiki mkosee then muende lupango mkaolewe.angeongeza aone
lupango my fooots ,, mbona husemi mtindio wa nanihii unamuona yupo sawa hahahahaha huwa kichaa anamuona mwenzie kichaaa zaidiYaani vijana wa yule mfuasi mwenye matatizo ya akili kichwani mna shida kweli kweli, yaani mnadhani eti kawaogopa ninyi wakati katiba ndivyo ilivyo. Natamani nyie wanafiki mkosee then muende lupango mkaolewe.
Kwa hiyo unaichukia ccm wakati huo huo huna mbadala wake?naichukia ccm na mambo yake yote naipinga na mm si mwanachama wa chama chochote
Hapo sasa, ahamie kusiko na vyama. Lambda mbinguni na ili afike mbinguni afe kwaza. Kwahiyo ajinyonge.Kwa hiyo unaichukia ccm wakati huo huo huna mbadala wake?