Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Kwani nani angemruhusu kuendelea zaidi ya miaka 10 hata hivyo? Hiko kilikuwa kimbelembele cha baadhi ya watu wajinga. Hatuwezi kubadili katiba eti sababu ya rais Magufuli utendaji wake wa kazi. Kwa hiyo ina maana akichaguliwa rais asiye na utendaji mzuri awamu ya kwanza, hivyo tutabadilisha katiba tena ili apunguziwe tena miaka ya kutawala?? Hiyo ilikuwa hoja ya kipuuzi hii Bongo siyo Rwanda.
bashite na cheap zake
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Next step ni kubadilisha katiba?
 
pye Chang shen unataka kusema kuwa kati ya wanachama 8m+ hakuna mwanaccm mwenye weledi wa kutuvusha hiyo 2025 to 2035 mpaka awe Magufuli!?
 
Yaani vijana wa yule mfuasi mwenye matatizo ya akili kichwani mna shida kweli kweli, yaani mnadhani eti kawaogopa ninyi wakati katiba ndivyo ilivyo. Natamani nyie wanafiki mkosee then muende lupango mkaolewe.
lupango my fooots ,, mbona husemi mtindio wa nanihii unamuona yupo sawa hahahahaha huwa kichaa anamuona mwenzie kichaaa zaidi
12106998_983301321712518_890501338974565509_n.jpg
 
kwakuwa watanzania wengi ni wajinga akisema anataka kuongoza tena bado ccm wengi watapiga matarumbeta.
 
Wananchi ndo wanamuomba, Yeye kasema hataki. Ila badae wakizi kumuomba anaweza akakubali maombi yao.

Ni sawa na kuchumbia tu ama wengine wanaita kutongoza.
Kwa vile katamuka kwa maneno yake mwenyewe sasa ni kazi kwa wanao taka abaki kuendelea kuomba. Kuanzia mwaka 2021 kitaeleweka.
 
Asije akageuka kama wanavyo geuka sasa kuhusu lipumba.
FB_IMG_1502086142251.jpeg
 
Back
Top Bottom