Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli: Nitaheshimu ukomo wa miaka 10 ya Urais kulingana na Katiba ya Tanzania

Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Si Mara ya kwanza kukana matamshi yake hata hili atalikana mwishoni mwa utawala wake, Alafu kwani nani kamwambia atatawala miaka kumi?
 
Magufuli ni mtu anayefuata utaratibu; sikuwahi kuwaza kuwa angevuka muda uliowekwa na katiba.
 
Inafanana tu na kauli hizi:
.......sitowachagua wapinzani.......
.......nitapandisha madaraja na increments zote za wafanyakazi mwaka huu......
Lipi jipya unataka kusikia kwa wanasi-hasa!!!

hata kagame mwanzoni aliulizwa akasema hivyo hivyo hato ongeza muda, halafu badae ukafanyika mpango kama vile wananchi ndio wana mlilia abaki madarakani, tuombe uhai tutayaona mengi tu
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


sawa awaambie wale wa chama chake ambao walishaanza kumkalia vikao kimyakimya
 
hata kagame mwanzoni aliulizwa akasema hivyo hivyo hato ongeza muda, halafu badae ukafanyika mpango kama vile wananchi ndio wana mlilia abaki madarakani, tuombe uhai tutayaona mengi tu

Mlitaka jibu gani nyie ngokwa???? Kazi yenu ni kupinga kila kitu.Ngoja tuchukue viwanda vyetu mnajifanya wawekezaji
 
Rais Magufuli akiwa Korogwe Tanga amesema hayuko tayari kuendelea kuongoza baada ya miaka 10 iliyowekwa kikatiba. Ameyasema haya baada ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani (Prof. Maji Marefu) kusema Rais anastahili kuongezwa muda ilia afanye mambo mengi zaidi.

Its official kuwa Magufuli hataongeza muda wa kukaa kwenye kiti cha urais. Hii kauli imemaliza wasiwasi wa watu wote waliokuwa na speculation kuwa Rais anaweza kuongeza muda wa kukaa madarakani.


Sasa wale wa kampeni pendwa ya Magufuli Baki wanaweza kuendelea.
 
Watz kama waisrael tuu Kuna mda walimwambia Musa bora uturudishe utumwani... Magu ni wa kukaa miaka hata 20 sababu hakuna mwingne mwenye hulka yake tz kwa Muda huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hataki ni yeye sisi bado tunamtaka akae miaka 20 ikiwezekana bila uchaguzi kwani katiba si msahafu tubadilishe tu hicho kipengele. Lengo ni tumpe muda wa kutosha akamilishe yote mazuri aliyoanza ili atapoondoka tuwe na akili ya kuyaendeleza big up mzee
kwani tangu awamu ya kwanza ilipoanza,kila awamu ilimaliza yote mazuri waliyoanza,acha kujitoa ufahamu wapo watanzania wengi wenye uwezo zaidi yake,labda kama akiliyako imeganda tu kwake.
 
MLITAKA JIBU GANI NYIE NGOKWA???? KAZI YENU NI KUPINGA KILA KITU.NGOJA TUCHUKUE VIWANDA VYETU MNAJIFANYA WAWEKEZAJI
mnahela nyie? mnajua hata viwanda vinendeshwaje? kama mishahara na posho za watumishi hamuwezi kulipa ndio mtaweza kuendesha viwanda? acheni kujifariji kwenye hamna.
 
Pro
Aibu ya Mzee Mwinyi,Maji Marefu na taka taka zote zilizokuwa zinapigia upatu nyongeza ya muda wa muhula by 2025!
Halafu yule ndezi wa OP ya BAKI MAGUFULI aweke tako lake chini...
2025 tunawaletea jembe lingine!
Prof. Kabudi anatosha.
 
Back
Top Bottom