Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

Du blaza kwani lazima utuanike hivi?
Tumekukosea nini mbona umeongea kwa hasira kali.

Leo ndo ninaamini wachaga hatupendwi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa namkubali sana Namba moja, lakini kuna wakati huwa ninahisi ana upendeleo. Juzi wakati kawaweka kitimoto akina Isaac Kamwele, kuna dalili engineer mmoja wa TANROADS kapona kutumbuliwa kwa sababu lafudhi ilimsaidia.
 
[emoji23][emoji23] anaangalia majina pia akiona
Machafu
Masanja
Makoye
Makonda
Manoti n.k anajua ni Ndugu zake na anawaacha
Ingawa namkubali sana Namba moja, lakini kuna wakati huwa ninahisi ana upendeleo. Juzi wakati kawaweka kitimoto akina Isaac Kamwele, kuna dalili engineer mmoja wa TANROADS kapona kutumbuliwa kwa sababu lafudhi ilimsaidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du blaza kwani lazima utuanike hivi?
Tumekukosea nini mbona umeongea kwa hasira kali.

Leo ndo ninaamini wachaga hatupendwi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi, nina uhakika unafahamu ni akina nani huwa wanaongea lugha kali dhidi ya Wachaga au makabila mengine lakini mie sio mmoja wao kwa sababu hata haya mambo ya kuongelea makabila, binafsi huwa siya-feel kabisa!! Na kama unadhani nami ni mmoja wao basi utakuwa unanionea tu Kiongozi cos' that's not my style!! But to be honest (naongea hili kutoka ndani kabisa ya moyo wangu) huwa najisikia vibaya sana Wachaga wanavyosemwa vibaya hapa JF ingawaje ukweli ni kwamba ni wenyewe ndio wanatengeneza mazingira ya kusemwa vibaya kutokana na hiyo tabia yenu ya kujiona nyie ndo bora kuliko makabila mengine!! Wachaga Tz ni kama Wayahudi duniani no wonder baadhi ya Wachaga "walevi" na wenyewe huwa wanajifananisha na Wayahudi.

Na hawa Wayahudi wanachukiwa kwa sababu zile zile za wao kujiona bora kuliko wengine!! Ukitoa baadhi ya "Wayahudi Weusi" na "Wayahudi wa kuchovya" sehemu mbali mbali duniani, generally Wayahudi wanachukiwa kila mahali duniani na wala sio kwenye nchi za Kiarabu tu!! Tena bora hata hao Waarabu unaweza kuielewa chuki yao dhidi ya Wayahudi lakini kwingine, hadi unaweza kuogopa na kuhoji where does this hatred come from!!
 
Kuna bosi mchagga namfaham. huyu kwene hela anaeza kudedisha mtu laiv.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wachagga wengi wako hivyo, wanapenda pesa hadi kuuwa awaoni tatizo. Pia ni wakabila sana, wanalazimisha mchagga mwenzao apate mfano kazi hata kama hana vigezo wakati wenye vigezo wapo!! Kwenye ukabila hata majirani zao wapare nao si haba kwa kubebana hawajambo. Uenda walifundishwa hizo tabia mbaya na jirani zao akina mangi sina aka wachagga!!
 
mkuu unawafaham vizur? kabla sijafika kwao nina rafik yang mchaga alinidanganya sana kuhusu wao ila nipo huku mwaka wa 7 daaah! akinipigia simu ata yale majigambo hamna kama zamani, nilichojifunza classes lazima ziwepo katika jamii mijengo ipo lakin na nyumba za mbao zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…