Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amteua Prof. William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa UDSM

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM), Rais mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa William-Andey Anangisye kuwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.

d4ace0cbe53f12991e5e36b71e6329ed.jpg

7ef9773ed0e835c4288ee60495a099e7.jpg
all the best
 
Najiuliza UDSM haina msukuma/mhaya/mnyamwezi aliyefikia ngazi za juu kitaaluma na kiutawala hadi achaguliwe mnyakyusa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Criteria labda zinabana
 
Mfinanga is very smart, najua hizo nafasi kuna siasa ndani yake ila nakuhakikishia Prof Mfinanga ni smart sana lazima wamemsoma wakamuogopa maana huku jf watu ni wajuaji sana wanalishana maneno ila tafuta watu waliofanya kazi na Prof MFINANGA
Hongera kwa Uteuzi
 
Hao wasomi unayotasema wewe mchakato umefanyika zaidi ya miaka miwili, hii ilikuwa kukamilisha tu Ratiba , Mchakato navyojua umeanza kusikika toka 2015.
Umeelewa nilichokisema? Tatizo siyo mchakato umeanza lini. Tatizo ni VC kapatikanaje: je, kwa academic na leadership merits? Ulisikia nafasi ya VC ikitangazwa na watu wakiambiwa watume maombi?
 
Back
Top Bottom