[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila Magufuli ana nguvu sana wakuu!
Fikria ni marehemu mwaka wa 2 huu ila ona anavyotrend.
Hii kitu huenda hata ccm walio hai kinawasumbua sana
Hivyo mkimtaja nyie haitoshi, hamridhiki!?Wote waliokwepa kumtaja pumzi yao anayo Mungu aliye hai na hawana mkataba na yeye hivyo wala usitie shaka maana alifanya kazi siku sita ya saba akapumzika
Mnabutuliwa nyie mnaoabudia Marehemu shetani lenu la Chato.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Magufuli bado anawabutua hata baada ya kufa mbwa nyie
Hata Firauni bado anatrend na amekufa miaka mingi sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila Magufuli ana nguvu sana wakuu!
Fikria ni marehemu mwaka wa 2 huu ila ona anavyotrend.
Hii kitu huenda hata ccm walio hai kinawasumbua sana
Wanatulazimisha na sie tuabudie mzimu.Mnataka kila mtu alitaje jina mungu wenu! Kweli mna kazi.
Well saidHata Firauni bado anatrend na amekufa miaka mingi sana.
Kama yake si angeenda nayo kuzimu
Ni miradi ya serikali siyo ya mtu.
Sio CCM hao ni Wazandiki tu! Sisi wana CCM kindakindaki hatuna huo upuuzi wanaouendeleza wao.Nashangaa na huyu anasema hajamtaja isije kuwa alikuwa anasikiliza hotuba za zamani, Kikwete kawataja wote na haya aliyosema aliwahi kuyasema wakati wanaweka jiwe la msingi na JPM alikuwa hai sio kwamba anasema kwakuwa JPM hayupo, ni lazima watu wajue hii ilikuwa sera ya CCM na amekiri JPM ndio wakati wake ali push hii sera sasa ni wapi Kikwete hajamtaja JPM? watu ni mradi watafute chokochoko tu hawa ni CCM na ni wamoja wanajuwana vizuri.
Kuna shida kumshangilia mtu aliyefanya jambo zuri? Ulitaka wazomee? Hoja nyingine ni za kitoto mno.Katika huu uzinduzi,kila lilipotajwa jina la magufuli watu walishangilia sana ilikuwa ina maanisha nini?
Umetoka lini Mirembe nguruwe wewe!Sawa bila shaka utaishi milele mwehu wewe
Kupanga ni kuchagua! Usitupangie hiyo ni kazi ya Deep State!kwanini haikujengwa kipindi icho chote mpaka alipokuja Chuma kujenga..
Shetani ana mbinu nyingi kumrubuni binadamu ili amfuate na kisha amteketeze kuzimu!Halafu shetani mwenyewe ndiye akajenga Ikulu
Ungekuwa shujaa kama ungemshauri shetani asijifanye Mungu!Hamjajifunza kwa Membe tu
Katika huu uzinduzi,kila lilipotajwa jina la magufuli watu walishangilia sana ilikuwa ina maanisha nini?
Kama hukaelewi, unaweza fikiri serikali ina tatizo kubwa kweli na JPM kumbe ni kakikundi kanatengeneza tention kwa maslahi wanayojua wao.Kanakera kwelikweli.
Sukuma Gang ni waabudu mizimu